Msaada: Huu ni ugonjwa gani na nini tiba yake?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Daa huo ugonjwa balaa. Shida yake nikwamba hutaki kwenda hospital, na unavyozidi kukaa ndio tatizo linazidi kuwa kubwa. Na hivyo vipele bila dawa havito kwisha na muwasho utaongezeka.

Niliwahi tomba lidemu fulani baada ya siku mbili nikaanza kupata muwasho na vidonda kama hivyo sema Niliwahi pharmacy nikapewa BBE vidonda na vipele vyote plus muwasho ukapotea. Ila hiyo stage uliofikia bora uendee hospital maana umekaa nao muda mrefu hadi vipele vingine vinakauka.

Ila nakuhakikishia hakuna wadudu watukutu kama hao wanaokutafuna ukifanya uzembe itakuja kula kwako. Halafu hiwezi jua maana unaweza kuta una gono au kaswende maana huwa na dalili kama hizo mwanzoni

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Duuuu alaf unakuta uyo demu ni bonge la pisi...
Hahaha nimekumbuka life la chuo ndo tunaanza mwaka wa kwanza mshkaj akapata pisi fulani ya chuga ukiichek kali kichiz ,mshkaji akataka kuonesha maufundi kama yote si akazama chumvini😁😁😁 kesho yake anaingia class mdomo umebabuka kama kamwagiwa maji ya moto
 
Nime screenshots na kumtumia asante sana kwa msaada wako pia pongezi kubwa ziende kwako kwa kuwa na moyo huo wa kusaidia watu.....Na Mwenyezi Mungu akuzidishie
 
Kwa kucha hizo ni wazi wewe ni mtu usiyejijali hivyo ukipatacho ni haki yako.
Hata hivyo mimi sijawahi kuona mtu anaumwa kwenye cylinder head hivyo msaada wangu ni kukupongeza kwa kazi nzuri uifanyayo.
 
Duuuu alaf unakuta uyo demu ni bonge la pisi...
Umelihangaikia kinyama, limeoga na kupiga make up na manukato ya garama, wakati unalivua nguo za ndani nyeupeeee ! Zimefuliwa kumbe damu na katikati pamejaa wadudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…