Msaada: Jinsi ya kufahamu lotion inayofaa kwa ngozi yangu

Msaada: Jinsi ya kufahamu lotion inayofaa kwa ngozi yangu

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze.

Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya chunusi kibao halafu anakuambia tumia hii itakufaa, ukimuangalia yeye mwenyewe ngozi yake haina mvuto na imekakamaa!

Ndio maana nimeamua niulize hapa, sitaki kwenda kushauriwa kwenye maduka ya cosmetics.
 
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze.

Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya chunusi kibao halafu anakuambia tumia hii itakufaa, ukimuangalia yeye mwenyewe ngozi yake haina mvuto na imekakamaa!

Ndio maana nimeamua niulize hapa, sitaki kwenda kushauriwa kwenye maduka ya cosmetics.
first unatakiwa ujue ngozi yako ni ana gani
oily skin, senstive, kavu au ya kawaida
kisha ujue unataka kuwaje
ku glow, kung'aa au vipi

then ndo uje kwenye kuchagua sasa lotion

uangalie kama ni body lotion kawaida au ni creame

lotion pekee haitakusaidia kupata mtelezo au mng'ao mulimuli


utahitaji serum, scrub, toner, face wash n.k

yote kwa yote consistent is key hakuna mabadiliko ya papo hapo it take times

pia kuna supplements ambazo zinatibu ngozi kuanzia ndani
 
Naomba shule ya matumizi ya hizi body oils Zilizopo kwa Sasa.... Kwangu bado Ni kitu kigeni. Unapaka body oil yenyewe? Unapaka kabla ya lotion? Au unapaka baada ya kupaka lotion??
inadepend kuna oil unaweza kupaka yenyewe na kuna oil unapaka after lotion kwa ajili ya kuseal moisture kupaka before lotion ni serum na mara nying ni usoni
 
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze.

Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya chunusi kibao halafu anakuambia tumia hii itakufaa, ukimuangalia yeye mwenyewe ngozi yake haina mvuto na imekakamaa!

Ndio maana nimeamua niulize hapa, sitaki kwenda kushauriwa kwenye maduka ya cosmetics.
Kuna bidhaa za urembo nauza jumla rejareja, direct kutoka SA. Nimeona madukani zilizopo ikabidi nicheke kwanza dah
 
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze.

Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya chunusi kibao halafu anakuambia tumia hii itakufaa, ukimuangalia yeye mwenyewe ngozi yake haina mvuto na imekakamaa!

Ndio maana nimeamua niulize hapa, sitaki kwenda kushauriwa kwenye maduka ya cosmetics.
Tembelea Hs Hamons Kwenye maduka Yao Mlimani city au Kariakoo-Wana Wataalam wa Ngozi,Au fika Muhimbili Idara ya Ngozi update ushauri.Binadami tuna aina tofauti za Ngozi na Kila Ngozi Ina vya kupaka tofauti na wengine
 
Back
Top Bottom