Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Usinichape, basi nimeacha... ila make sure unatafuta hiyo lotion uglow kipenzi ππNitakuchapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinichape, basi nimeacha... ila make sure unatafuta hiyo lotion uglow kipenzi ππNitakuchapa
Wanazidisha mkuu, utasikia serum, lotion, foundation, oil sijui make up ila shughuli akizifuta zote πππMwenyewe napaka vaseline mkuu, ngozi yangu haina shida πππ... nawashauri wanaotaka kuglow na kuondoa chunusi jamaniππ
Ngoja nianze kutumia piaMwenyewe napaka vaseline mkuu, ngozi yangu haina shida πππ... nawashauri wanaotaka kuglow na kuondoa chunusi jamaniππ
Vaseline au hiyo Lillies πππNgoja nianze kutumia pia
Yeahππ,, unaongeza na glycerin tu ila nayo sio lazima sanaWanazidisha mkuu, utasikia serum, lotion, foundation, oil sijui make up ila shughuli akizifuta zote πππ
Kama hupaki Vaseline tumia Nazi ππ
Vaseline cuteVaseline au hiyo Lillies πππ
Karibu chamani hutojutia, zingatia tu label usije ukauziwa fekeroVaseline cute
Nitajuaje eti?Karibu chamani hutojutia, zingatia tu label usije ukauziwa fekero
Picha yake mkuu140,000 bei iko chini? Fear women
Wagumu tunatamba na Vaseline for men Petroleum jelly hatujui chunusi wala harara.
Chukua ambayo ni pure petroleum "New" hayawi meupe sana yanakua kama njano flani hiviNitajuaje eti?
Sawa,asante sana cuteChukua ambayo ni pure petroleum "New" hayawi meupe sana yanakua kama njano flani hivi
Your welcome ππ€Sawa,asante sana cute
Tunaomba shule kwa mifanoinadepend kuna oil unaweza kupaka yenyewe na kuna oil unapaka after lotion kwa ajili ya kuseal moisture kupaka before lotion ni serum na mara nying ni usoni
Hiyo hapo mkuuPicha yake mkuu
Hii safi kabisaHiyo hapo mkuu
ππHii safi kabisa
Nitakuchapa
140,000 bei iko chini? Fear women
Wagumu tunatamba na Vaseline for men Petroleum jelly hatujui chunusi wala harara.
Mwenyewe napaka vaseline mkuu, ngozi yangu haina shida [emoji2][emoji2][emoji2]... nawashauri wanaotaka kuglow na kuondoa chunusi jamani[emoji18][emoji18]