Savannah nne ni 20k.Savannah nne jamani hiyo sii tayari 15k kitimoto hapo tuweke kilo, haya bad sijui hela ya usafiri. Aisee kazi ipo.
Wacha niendelee kuwa mwanachama wa chaputa tuu
Dah na mie nigonge monde zangu sii ndio nakwambia yaani uwe na laki mfukoni...chini ya hapo utapata tabu.Savannah nne ni 20k.
Kitimoto nusu ni 10k
Usafiri unamfuata mwenyewe na gari ya ofice[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mie tongoza yangu ni kumwalika mdada ghetto Evelyn SaltUngeweka hata mistari mitatu jinsi unavyotongoza, tofauti na hapo ni ngumu kukushauri
Gentleman hatukanwi bila shaka hali ya kipato cha mwandishi ni cha kawaida/chiniUna hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Ukweli mtupuGentleman hatukanwi bila shaka hali ya kipato cha mwandishi ni cha kawaida/chini
Mjini ukiwa na usafiri mixer pesa mingi hakuna mwanamke ataekutukana, kwanza hautongozi come on
Unaweza mtoa sana ukaisha kuona tu, kuna manzi moja miaka minne imepita.. Nilikuwa naitoa kwa wiki mala tatu tuna kaanga hela, naipeleka kwao naiachia gari, naifata ofisini karibia miezi mitatu.. Ikajaga tu ku ni block mzee baba sikula mbususu wala nini 🤣🤣🤣🤣 na hela ambayo nilichoma ni ndefu sana maana kuna siku nimemtoa dinner nikampitisha sehemu shoping ila waapi dah.. Siamini mwanamke tofauti na Bi mdash ndio maana nimerudi maskani tu nikae na madogoKumbe yaani wee mtoa outing alafu usiombe mbususu atapagawa mwenye. Ila tatizo ukiwaza date ya maana ni laki, ukienda dates tatu tuu tayari mshahara umeisha.
Aise hizi mbususu tutaviona kupitia vpn
dates za gheto mnaagiza msosi huku Netflix hapo hatoki mtuKumbe yaani wee mtoa outing alafu usiombe mbususu atapagawa mwenye. Ila tatizo ukiwaza date ya maana ni laki, ukienda dates tatu tuu tayari mshahara umeisha.
Aise hizi mbususu tutaviona kupitia vpn
Hawa wanawake wanafilisi sana ila sasa mwanawane pale kati patamu sana. Mie kila leo nasafisha kiwanja tuu.Unaweza mtoa sana ukaisha kuona tu, kuna manzi moja miaka minne imepita.. Nilikuwa naitoa kwa wiki mala tatu tuna kaanga hela, naipeleka kwao naiachia gari, naifata ofisini karibia miezi mitatu.. Ikajaga tu ku ni block mzee baba sikula mbususu wala nini 🤣🤣🤣🤣 na hela ambayo nilichoma ni ndefu sana maana kuna siku nimemtoa dinner nikampitisha sehemu shoping ila waapi dah.. Siamini mwanamke tofauti na Bi mdash ndio maana nimerudi maskani tu nikae na madogo
Ghetto sina mie naishi kwa baba bwanadates za gheto mnaagiza msosi huku Netflix hapo hatoki mtu
Kikubwa maskani kupo, tunalala na kula bure kazi zetu za home ndogo ndogo tu 🤠🤠🤠 kupigia madogo dawa za viatu, kuwapigia pasi kuwapeleka shule fresh kabisaHawa wanawake wanafilisi sana ila sasa mwanawane pale kati patamu sana. Mie kila leo nasafisha kiwanja tuu.
Nikipata million niseme nikanunue tofali akili inaona tako za wanawake tuu...mwishoe naishia piga threesome yangu naendelea na maisha.
Dunia tunapita tuu wacha tule raha na warembo
🤣🤣🤣Hawa wanawake wanafilisi sana ila sasa mwanawane pale kati patamu sana. Mie kila leo nasafisha kiwanja tuu.
Nikipata million niseme nikanunue tofali akili inaona tako za wanawake tuu...mwishoe naishia piga threesome yangu naendelea na maisha.
Dunia tunapita tuu wacha tule raha na warembo
Hii na mnasumbuaga utakuta unamrudisha kwao anakwambia “thanks for the good time, leo nime enjoy kweli” halafu kinakukumbatia kinaondoka wakat mwamba umepoteza mda unataka sex on the first date kmmkUna hela?
Ukikutana na mtu umemwelewa usimtongoze. Mwalike dinner halafu muulize yeye angependa kwenda sehemu gani kupata hiyo dinner?
Kama una kausafiri, mwambie utamfuata na kumrudisha.
Mkikutana kwenye dinner pigeni story mbali mbali kuisoma akili yake. Usimtongoze hiyo siku.
Mrudishe kwake wewe ondoka zako. Baada ya hapo utaona mambo yatskavyokuwa marahisi.
Wanaume tutafika tumechoka sanaKumbe yaani wee mtoa outing alafu usiombe mbususu atapagawa mwenye. Ila tatizo ukiwaza date ya maana ni laki, ukienda dates tatu tuu tayari mshahara umeisha.
Aise hizi mbususu tutaviona kupitia vpn