Msaada: Kila nikitongoza mwanamke naishiwa kutukanwa

Kijana anitafute kama anahitaji nimpe pdf ya kitabu cha Pandora's box bure
 
Siku hizi hata namba wanatoa kirahisi tu.
Somesha muamala kwanza.
Hata dinner atapanga mwenyewe!!
Na mzigo unakula siku hiyo hiyo
 
Dah na mie nigonge monde zangu sii ndio nakwambia yaani uwe na laki mfukoni...chini ya hapo utapata tabu.

Mwengine anakwambia mie napiga wine sijui four cousins loh alafu anpiga chupa mbili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa ku-summarize tu hapo awe na hela, manake out ni hela labda kama unamaanisha ile out kumtoa ndani na kuongea nae kibarazani.

Hizo tamthilia tuu demu kama akikukubali, unaweza kumtongoza hata stand,njiani, dukani, kisimani, kibarazani hata sehemu anapo fanyia kazi na akakuelewa cha msingi jiamini na husitumie maneno ya kihuni.
 
Akili ya kijana wa Tanzania, tena ahsubuhi
 
Utakuwa unaenda na sound za kwetu tuna tv, baba yangu anamashamba namtumbo lazima upigwe chini tu hakuna namna
 
Hii muvi gani dada
 

Hivyo wanafanya waliojifunza mapenzi ukubwani πŸ˜€πŸ˜€

Mapenzi ni Sanaa
Mapenzi ni kipaji.
Mapenzi ni Sayansi.

Huo muda wa kutoana dinner sijui story huitumia watoto wa getikali. Madomo zege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…