Msaada kuhusu mtoto kusumbua usiku kucha

Ahsante mkuu
 
Ahsante mkuu
 
Inatokeaga hii
 
Ahsante mkuu
 
Ubarikiwe mara elfu
 
Mimi wa kwangu kashazidi huo umri anatembea yuko chekechea ila ikilala anastuka na kuanza kulia iwe mchana au usiku...ana mwaka na nusu +...
 
Mtoto huyo hashibi,maziwa ya mama hayamtoshi.Mpe maziwa ya ng'ombe au kopo.Utakuja kunishukuru.
 
Hongera kwakupata mtoto
 
Mtoto huyo hashibi,maziwa ya mama hayamtoshi.Mpe maziwa ya ng'ombe au kopo.Utakuja kunishukuru.

Kiafya haishauriwi kumpà mtoto aliyechini ya miezi sita kitu chochote isipokuwa maziwa ya Mamaake.

Anunue kikamulia maziwa(Breast pump) na mikopo vyake. Kisha amkamulie maziwa ya Mamaake. Kisha awe anampa.

Mtoto wa miezi miwili atahitaji 600ml to 800ml Kwa siku.
 
Kila baada ya kunyonyeshwa muweke begani umukimpapa mgongoni au kama kumpiga (Ile ya kubembeleza) ili atoe upepo (acheue). Hapo anaweza kutulia unapomlaza au kumuacha mwenyewe. Upepo tumboni huwasumbua Sana
 
Iliwahi nitokea mzee nikawa nalala sebuleni namuacha mama ake apambane na mtoto! Ila baadae nilimlipa mama ake kwa usumbufu alioupata pamoja na gharama za kunyonyesha mtoto kwa miaka 2!
 
Nenda pharmacy pia nunua gripwater

Ni dawa ya maji kwa watoto wachanga na ni normal tu kutumia ..inatoa ges


Afu kiasili kama unakaa na majan yale si tunaita milumbalumba japo ina majina mengi

Mama ake amchemshie japo vijiko viwili kwa siku atakua normal
 
Hakika nimejifunza mengi Sana kwenye huu Uzi.
Mbarikiwe Sana wore mliochangia.
 
Wewe nenda kacheze na watoto wenzio kule, huku kwa watu wazima. Mtoto wa miezi miwili hana ratiba ya chakula.
🤣🤣🤣🤣 kunyonya sio kula...? mkuu nina watoto watatu... na idadi hiyo ina kamilishwa na mapacha....!​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…