Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kweli kabisa kuu la mashanduajiTatizo hajatoa Loc, tungesogea kuanua matanga. Lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa kuu la mashanduajiTatizo hajatoa Loc, tungesogea kuanua matanga. Lol
Poa my 😊Ntakupa pm
Huyo hana lolote, kalimiss dushe tuIvi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Amina dadaNamuelewa sana anachopitia,wakati fulani nilishawahi kuwa na hii hali nilivyokuwa chuo...nikaweka hadi uzi humu wa kusaidiwa namna ya kumsahau
Kama ni mwanaume wake wa kwanza kama ilivyokuwa kwangu atachukua muda zaidi manake binafsi hadi sasa bado naumia kimtindo nikimkumbuka
Pole yake huyo rafiki yako, muda utamponya
Haya karibu pmNdio kwani vipi
Fanya hivo maana unaingia kwenye husiano hilo ambalo hujui lina husiana niniKuna kijana mmoja hapa wa kiume nishawahi msaidia mpaka akapata mke mwingine akaoa kabisa , siku akanipigia yupo na mke wake mpya anatoa ushuhuda, pm Iko wazi Kama ni utaniambia, sijui nianzishe hii project niwe nalipwa kabisa
Nusu Albino uwage na adabu, au unataka nikushanduee.Kweli kabisa kuu la mashanduaji
Jmn😄😄😄😄Kosa kubwa la pili analofanya ni kuomba ushauri kwa kilaza
Aje nimpende na nimuondoe mawazoIvi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye