Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Msaada kwa rafiki anayeuguza moyo uliovunjwa

Kwenye wimbo wa Mjomba- chocheeni kuni kuna mstari anasema "mimi sidhani kama kujiponya kwa mambo mazito tunahitaji cheti kilicho gongwa muhuri wa moto au mtaalamu wa magonjwa ya akili zaidi ya kutumia neno sahau tu".
Mwambie asahau tu.
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Daah
Huyo anahitaji muda ajipange. Lakini mwambie kwamba ndoa ni utapeli mkubwa ndo maana wanaume sasa tunashtukaga mapemaa na kuingia mitini
 
Kwenye wimbo wa Mjomba- chocheeni kuni kuna mstari anasema "mimi sidhani kama kujiponya kwa mambo mazito tunahitaji cheti kilicho gongwa muhuri wa moto au mtaalamu wa magonjwa ya akili zaidi ya kutumia neno sahau tu".
Mwambie asahau tu.
Ntamwambia
 
Mshauri sana kwamba, huyo jamaa aliyemkimbia hakuwa mtu sahihi kwake. kilio anacholia leo kingekuwa ni kilio cha kudumu endapo wangeendelea hadi kuoana....

Amshukuru Mungu kwa yaliyotokea, amalize chuo atapata mtu sahihi
Asante kwa ushauri🙏
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Akikua ataacha utoto
 
Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?

Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..

Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa

Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....

Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...

Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Kumbe kapumbuvu kweli.
 
Back
Top Bottom