Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahIvi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
NtamwambiaKwenye wimbo wa Mjomba- chocheeni kuni kuna mstari anasema "mimi sidhani kama kujiponya kwa mambo mazito tunahitaji cheti kilicho gongwa muhuri wa moto au mtaalamu wa magonjwa ya akili zaidi ya kutumia neno sahau tu".
Mwambie asahau tu.
Mshauri sana kwamba, huyo jamaa aliyemkimbia hakuwa mtu sahihi kwake. kilio anacholia leo kingekuwa ni kilio cha kudumu endapo wangeendelea hadi kuoana....Ntamwambia
Asante
Asante kwa ushauri🙏Mshauri sana kwamba, huyo jamaa aliyemkimbia hakuwa mtu sahihi kwake. kilio anacholia leo kingekuwa ni kilio cha kudumu endapo wangeendelea hadi kuoana....
Amshukuru Mungu kwa yaliyotokea, amalize chuo atapata mtu sahihi
Akikua ataacha utotoIvi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Nononono nehiNusu Albino uwage na adabu, au unataka nikushanduee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe kapumbuvu kweli.Ivi kwanini wanaume hamna chembe ya huruma?
Kuna mdada hapa hajui afanye Nini muda huu maana kaachwa na boyfriend wake..
Ni miezi kadhaa imepita ila naona Ile hali Bado inamsumbua...mwili wake umepungua mno na chuo kaacha kuja kabisa
Ushauri nimempa ila naona bado haumsaidii..nimeleta huku jukwaani maana motivational speaker na washauri hawakosi ili tumsaidie....
Anaweza kujidhuru Kwa Hali hii kashindwa kumsahau boyfriend wake kabisa...
Ni hatua zipi anaweza kufata ili kuwa katika ukawaida au mambo yapi afanye
Mxxxxxiiiiiieeeeeew!! Ntakubondaaa.Nononono nehi
JichanganyeMxxxxxiiiiiieeeeeew!! Ntakubondaaa.