Sahihi kabisaMkuu kwa shule ya priavate hauhitaji matokeo ya darsa la saba. Mimi mwanangu yuko chuo mwaka wa pili alisoma mpaka darasa la sita na kufanya mtihani wa kujiunga na kidato cha kwanza na akafaulu, akaenda secondary private school, kamaliza kaenda A Level na sasa yuko chuo mwaka wa pili. Mpeleke mtoto asome wala usiwaze.
Siku hizi unazoengelea ni zipi? Na zamani unayoiongelea ni ipi? Je muongozo wa elimu unaeleza kuhusu kurudia mtihani wa la saba? Ninajua mtihani wa maarifa kwa maana ya QT na kuendelea.ubaya hamjui mambo yamebadilika na siku hizi hiyo ya kuvushwa toka la sita kwenda form 1 haipo tena yani... so labda mtoto aanze form one ila atarudia kufanya mtihani wa darasa la saba
Watoto hawawezi kuwa victims kwa makosa ya wenye shule/vituo. Wataandaliwa mtihani special waufanyie kwenye centers zitakazotolewa na Baraza kabla ya shule kuanzia 2023, mara nyingi huwa ni shule za msingi za serikali. Ilitokea hii yapata miaka 4 nyuma waliokumbwa mmoja wapi ni Atlas na Maktaba za Dar es Salaam. Matokeo ya darasa la 7 huwa yanahitajika kwa usajili wa mitihani huko mbeleni.Wakuu Msaada.
Kijana wangu amemaliza shule ya msingi iliyofutiwa matokeo. Kwenye interview zote nne nilizompeleka amefaulu. Matokeo ya la Saba yaliyotolewa nuda si mrefu shule yake imekubwa na tatizo Hilo.
Je, akiendelea na sekondari kwa matokeo yapi ya la Saba yatatumika? Kwa maana kwamba ana uhalali wa kuendelea na private?
Kwenye taarifa za Baraza la Mitihani atakuja atumie taarifa zipi huko mbeleni (hii watanielewa wale wanaojua utaratibu pekee kama hujui hapa pita tu)?
Dogo alipita interview zote zenye ushindani ikiwemo Ahmes sekondari.
Umejibu kinecta necta asante mkuu.Watoto hawawezi kuwa victims kwa makosa ya wenye shule/vituo. Wataandaliwa mtihani special waufanyie kwenye centers zitakazotolewa na Baraza kabla ya shule kuanzia 2023, mara nyingi huwa ni shule za msingi za serikali. Ilitokea hii yapata miaka 4 nyuma waliokumbwa mmoja wapi ni Atlas na Maktaba za Dar es Salaam. Matokeo ya darasa la 7 huwa yanahitajika kwa usajili wa mitihani huko mbeleni.
Mimi bado sijaelewa matokeo ya la saba yanhitajika kwa ajili ya mitihani ipi mkuu? Make mimi kijana wangu kasoma mpaka la sita akafanya mtihani wa kujiunga kidato cha kwanza shule ya binafsi na leo yuko chuo mwaka wa pili, labda kwenye kazi za serikali huko ndo niliwahi kuona tangazo. Ambapo ilitakiwa kuwa na cheti cha darasa la saba. Tofauti na hapo sioni cheti cha la saba kinafanya nini kwenye taaluma.Umejibu kinecta necta asante mkuu.
Ilikuwa zamani, hivi sasa ni lazima awe na matokeo ya darasa la 7.Anaenda vzuri ndugu form one akuna sheria inayomzuia sio lazima mim ninandugu zangu awaijui darasa la 7 kabisa walikua wanarushwa madarasa kulingana na performance yao awajawai fanya mtihani wa darasa la saba now wapo wanapambana na module vyuon ukoo
Chukua ushauri huuuKwa Sasa hatoweza kuendelea na kidato cha kwanza ni Hadi ahitimu darasa la saba. Kwamaana namba ya darasa la saba inahitajika kwenye usajili wa kidato cha pili na pia inatumika kupata verification number ya kidato cha nne.
Zamani kidogo mambo yalikua rahisi tu hata walioishia darasa la sita walijiunga na elimu ya secondary hapakua na huu utaratibu wa Sasa.
Pole mkuu mtoto inabidi arudie mwaka tu unamuombea kibali bas anarudia
Mkurugenzi, una uhakika kweli na hiki ulichokisema hapa!!Wala hakuna connection anaendelea Tu labda kama unataka apangiwe shule za serikali ndo arudie. Matokeo ya darasa la Saba KWA SASA HAKUNA YANAPOTUMIKA Almradi umemaliza
Zaman hipi tena wakati na mwaka huu nina ndugu yupo kidato cha kwanza aijui la7 ndo nnIlikuwa zamani, hivi sasa ni lazima awe na matokeo ya darasa la 7.
Mambo yamebadilika. Siku hizi watoto wote wanaomaliza elimu ya darasa la saba majina yao yanatakiwa kuonekana kwenye mfumo.Mkuu kwa shule ya priavate hauhitaji matokeo ya darsa la saba. Mimi mwanangu yuko chuo mwaka wa pili alisoma mpaka darasa la sita na kufanya mtihani wa kujiunga na kidato cha kwanza na akafaulu, akaenda secondary private school, kamaliza kaenda A Level na sasa yuko chuo mwaka wa pili. Mpeleke mtoto asome wala usiwaze.
Umemaliza.Mambo yamebadilika. Siku hizi watoto wote wanaomaliza elimu ya darasa la saba majina yao yanatakiwa kuonekana kwenye mfumo.
Kinyume na hapo, mtoto hawezi kupata usajili. Hata kama unampeleka private! Lazima jina lake lionekane kwenye huo mfumo.
Mkurugenzi, una uhakika kweli na hiki ulichokisema hapa!!
Aisee kuna comments zinatisha sana hapa!!Mkurugenzi, una uhakika kweli na hiki ulichokisema hapa!!
Ndugu akuna muongozo wa kurudia elimu ya msingi au wewe umeuona tusaidie nasiKiufupi tu, hawezi kuendelea hadi arudie tena.
Nafikiri huu ndo ukweli.Mambo yamebadilika. Siku hizi watoto wote wanaomaliza elimu ya darasa la saba majina yao yanatakiwa kuonekana kwenye mfumo.
Kinyume na hapo, mtoto hawezi kupata usajili. Hata kama unampeleka private! Lazima jina lake lionekane kwenye huo mfumo.
Mkuu hii sio sahihiNinachojua mimi sheria hipo form 4 tu ndo akuna mtahiniwa atakayefanya mtihani wa form4 pasi ya kuhufanya wa form tu basi hyo ya la saba kuwa pingamizi kwa mtoto kuenda form one hapana atoenda shule za serikali tu hila private anapiga mzigo tena kihalali tu sio illegal