RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Yaani kiufupi mwanamke anatumia masculinity kama fimbo kwa wanaume, kuna vitu lazima na nyie mfanye. One sided relationship ndani ya uchumba au ndoa ni upumbavu. Huyo mwanaume kakataa kuwa mpumbavu.Unalo gari wewe, achana na ndege.
Nyie wenye division one ndoa zenu zimekufa mnawaza ma calculas na integration tuuu hahaha pata divion 3 wewe ndiyo maisha iaseee.gari lenyewe sio dereva aliyetengeneza.
Maana halisi ya kupelekewa Moto!!Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Nani kakuambia mimi mwanamke aiseeeYaani kiufupi mwanamke anatumia masculinity kama fimbo kwa wanaume, kuna vitu lazima na nyie mfanye. One sided relationship ndani ya uchumba au ndoa ni upumbavu. Huyo mwanaume kakataa kuwa mpumbavu.
Mimi usinipende tafadhali.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Ndoa yangu haiwezi kufa, na differential equations zinabaki palepale. Alafu kupata division one ni heshima .Nyie wenye division one ndoa zenu zimekufa mnawaza ma calculas na integration tuuu hahaha pata divion 3 wewe ndiyo maisha iaseee.
Vyema tujue kwa siku anapewa goli ngapi?Wakati wa uchumba hali ilikuwa hivi pia?
Mawazo yangu.Nani kakuambia mimi mwanamke aiseee
Mume/mke kwenye ndoa ana play part hiziHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Inaonekana wewe ni mali safi. Kuamsha hamu ya mwanaume kwa kiasi hicho si jambo dogo.Habari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili
Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..
Nawapenda nyote.
Unaiwaza bado hujaopata jitahidi upate one ya kitaa, hapo utawini, acha na kwenye makaratasi.Ndoa yangu haiwezi kufa, na differential equations zinabaki palepale. Alafu kupata division one ni heshima .
Sawa , hii Mungu atasaidia.Unaiwaza bado hujaopata jitahidi upate one ya kitaa, hapo utawini, acha na kwenye makaratasi.
Ndoa huna, nyumba huna, gari hina mtoto huna hebu piga Lampard mpk mchna ukale wali maharage pale kwa mwarabu.Sawa , hii Mungu atasaidia.
Sawa.Ndoa huna, nyumba huna, gari hina mtoto huna hebu piga Lampard mpk mchna ukale wali maharage pale kwa mwarabu.
Nadhani ndicho kinachomsumbua huyu, watu wa hivi ni wao na marafiki, marafiki ndio the first priority na yakija madhara hawapo/hawaonekani.Kabisa hata mimi nimeliona hili.
Hilo jambo ni la ww na yeye mengine ilitakiwa uwaambie wa simamizi wako apa tutakujaza kiburi maana umeundwa hujaeleaHabari wana Jamii,
Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.
Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.
Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.
Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.
Nawapenda nyote.