Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Msaada: Mume wangu tukiwa pamoja ni sex tu, hanipi muda tukakaa tu na kuongea

Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili

Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..

Nawapenda nyote.
Maana halisi ya kupelekewa Moto!!
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili

Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..

Nawapenda nyote.
Mimi usinipende tafadhali.
Nendeni kwenye semina ya ndoa
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili

Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..

Nawapenda nyote.
Mume/mke kwenye ndoa ana play part hizi
Mzazi
Kaka/dada
Ndugu
Mpenzi
Rafiki
Mwalimu
Kiongozi
Na kila part ina wakati wake na mahala pake.. Na mara nyingi hii hutokea automatically bila kupangiana sala kupangana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sija chukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi
Hudumu anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamaani hii kitu inaniuma sana, nimesha zungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili

Je MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana..

Nawapenda nyote.
Inaonekana wewe ni mali safi. Kuamsha hamu ya mwanaume kwa kiasi hicho si jambo dogo.
 
We dada.... Wanawake wenzio wanalalama hawaguswi miezi 6 .... Wewe unasuguliwa kila kukicha unaleta mada ya kulalamika.... Badilisha namna unavyoongea na mumeo. Ongeza unyenyekevu na usikivu.... Atakupa muda. Kuwa more romantic, acha kushindana naye kila wakati..... Atakupa muda wa kutosha kabisa.
 
Habari wana Jamii,

Napitia maumivu sana kwenye ndoa yangu naomba kuwashirikisha hii kabla sijachukua maamuzi magumu.

Jamani nahisi kama Mume wangu hana mapenzi na Mimi Huduma anatoa kila kitu lakini hanipi muda wa kukaa tukiwa pamoja ni kusex tu.

Jamani hii kitu inaniuma sana, nimeshazungumza nae mara kadhaa lakini habadiliki sasa nashindwa kuelewa. Labda wanandoa mje nifafanulie hili.

Je, MTU mkiwa kwenye ndoa hakuna kukaa kama marafiki?
Naombeni mnishauri naumia sana.

Nawapenda nyote.
Hilo jambo ni la ww na yeye mengine ilitakiwa uwaambie wa simamizi wako apa tutakujaza kiburi maana umeundwa hujaelea
 
Back
Top Bottom