Msaada: Nampenda kuwa mcha Mungu lakini makalio ya wanawake yananiangusha

🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akili nywele!!!!!Bro kafanye comedy🤣🤣🤣Umetisha na hiyo title ya uzi wako
 
Ahsante Sana mkuu
 
'Dhambi ya UASHERATI ndio itanipeleka motoni' ushajitabiria unaenda motoni sisi tutakusaidia Nini hapo?
 
Mimi matiti ndyo yananimaliza
 
Ukikua utaacha
 
Tako ndo kila kitu

Mwanamume rijali lazima alihusudu tako

Wewe chakata tu. Maisha ndo hayahaya
 
Watu wapumbavu Kama nyie Mnabidi kukaa kimya tu sasa ngono ukifanya unapata faida gani zaidi ya uchafu !
Vidume tumeombwa kutamani mkuu wanawake wanatakiwa wajisitiri ili tusiendelee kutamani maana wao ndio visababishi kwani wakijisitiri na nguo za heshima watapunguziwa na nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…