Msaada: Nataka kuuza nyumba maana baba yangu mzazi anadai mimi sio mtoto wake

Msaada: Nataka kuuza nyumba maana baba yangu mzazi anadai mimi sio mtoto wake

Watu kama ninyi ndio mnao sababisha urusi iendelee kumchapa ukren, maana Putin hataki kabisa ujinga wa aina hii...[emoji3525]

Alafu 41 years old unajiita kijana..!!
Hivi nyie wanaume wa Daslam mkoje...[emoji53]
Hahaha mkuu nimechukua umri wake nikagundua huyu sio kijana ila ni mvulana

Kijana anahama nyumbn akifikisha miaka 15 kama hayupo shule akiwa shule akimaliza form six huwa harudi nyumbn tena anaanza kutokea kwa marafiki mwisho anapanga chumba

Sasa huyu mvulana anajiita kijana kuna walakini hapa

Mali za wazazi ni zao wewe mtoto unapewa kwa hisani tu
 
Siyo wote wenye mvi ni wenye hekima....!!
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Pole Sana, kinachokusumbua Ni malezi mabovu, yaelekea ulidekezwa na mama yako, baba anakwambia nenda shule, badala yake unazunguka kwa mama yako unaomba pesa ya kula shuleni, ikibaki unavuta bange, matokeo yake ndo hayo..
Kwanza,, ki kawaida Mali ya mzazi huwa sio tegemeo la mtoto, wew ulipaswa kuwa na mambo yako binafsi, Sana Sana, kwa vile baba bado yupo, ungekuwa unamshauri jinsi ya kuishi vzr ili adumu zaidi,
Kuwa karibu na mzazi akuone rafiki yake, Kia's kwamba hata akiamua kugawa vitu akufikirie Mara 2.. kumbuka, ktk familia Kuna urafiki pia, mnaweza kuzaliwa watoto 6 lakini ukapata rafiki mmoja, au ukakosa kabisa, ukaja kupata rafiki wa nje ya familia,
Nakushauri, tafuta vyako, usitafte kaana ya mzazi, uking'ang'ania atakuambia subirini nikifa urithi nilishaandika mtaenda kuchukua maelekezo mahakama flani,,
Utaona anachalewa kufa, unamuwekea sumu ili afe mapema,ile kwenda mahakani unakuta URITHI wako, kakuandikia KOPO la chooni na PANGA,
So keep watching..
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Sio sawa kumchukua baba mahakamani kisa nyumba yake mwenyewe. Kuuza nyumba bila baba kujua unatafuta LAANA.
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Miaka 41 unakaa kwenu?huyo mzee ni fala ingekua mimi ningekupa kesi ukakae magereza ndio kunakufaa mtu wa hovyo kma wewe
 
Habarini ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.

Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.

Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.

Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.

Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Wewe jamaa utakuwa na tatizo la akili, kwanini unakomaaa na Mali ya baba yako , ushakuja hapa ukapewa ushauri ajabu zaidi wewe ni graduater mbona u adharirisha uwanaume wako acha utoto
 
Back
Top Bottom