Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na utakuta wakikaa kupiga soga wanahimizana kutohama nyumbani kwa wazazi na kwenda kujitegemea.Wanaambiana ..."tusihame.Tuhame kwenda wapi wakati hapo ndiyo kwetu tulipozaliwa? Wenyewe wazazi ndiyo wahame waende kwa wazazi wao"...!Umeona hizo akili?😂😂😂😂😂Hii nchi uhuru umepitiliza sana🤣🤣
Yaan vijiweni huko wanadanganyana sana + bangi mbichi basi kitakachotokea hapo ni shida tupuNa utakuta wakikaa kupiga soga wanahimizana kutohama nyumbani kwa wazazi na kwenda kujitegemea.Wanaambiana ..."tusihame.Tuhame kwenda wapi wakati hapo ndiyo kwetu tulipozaliwa? Wenyewe wazazi ndiyo wahame waende kwa wazazi wao"...!Umeona hizo akili?😂😂😂😂😂
Unaweza kujilaumu na kujilaani bure ukidhani ulizaa mwehu.😂😂Yaan vijiweni huko wanadanganyana sana + bangi mbichi basi kitakachotokea hapo ni shida tupu
Na anahitaji huduma za afya ya "kichwa" na kiroho.Unasikitisha sana...
Mtu akivuta bang si unajua mara ajione yuko Marekani na DiamondMadhara ya kuvuta bangi bila kula, uza tu
Hadi unatamani miaka 41 ingerud nyuma hiyo siku ungejichukulia zako sheria mkononi hizi stress usingezipata😛😛Unaweza kujilaumu na kujilaani bure ukidhani ulizaa mwehu.😂😂
Hakika..Na anahitaji huduma za afya ya "kichwa" na kiroho.
Kweli mkuu yani ahdi linakua na hasira na mali sio yakeMwanaume miaka 41 unalilia mali za baba yako....
Hii iingizwe kwenye maajabu ya dunia.
Jamaa mtu wa ajabu sana huyuBlaza mali ya baba yako sio yako fanya ujenge tu nyumba yako Mkuu achana na Mzee hayo nd maamuzi yake
Kweli mkuuMali wametafuta na "mchumba"/mke wake halafu huyo "kijana" anataka ajitwalie kabla hata hawajafa na kumuachia urithi!Elimu ya kujitambua kwa watoto wetu na kuzijua sheria kwa kiasi ni jambo la muhimu sana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una elimu gani ?Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
Wewe utakua hujitambui au unamtindio wa ubongo ww kila siku unakuja na style tofaut tofaut umesomeshwa na baba yako unataka nn halafu bado unajiita kijana miaka41Habarini ndugu zangu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 41 baba yangu baada ya kuuza nyumba yake na kugoma kunipatia na mimi japo pesa kidogo nikaanze maisha na ikanipelekea mimi kwenda polisi na mpaka mahakani na mahakama ikaamua kuwa mimi sina ninacho dai kwenye iyo nyumba ya baba.
Hatimaye chuki ikaanza kutamalaki katikati yangu mimi na mzee wangu. kitu kilicho niumiza zaidi ni baba yangu jana amesema hataki kuniona wala kunisikia na alienda mbele zaidi na kusema mimi sio mtoto wake.
Roho imeniuma sana sana mpaka nikawa nawaza mimi kupigania aki yangu ya kupata gawio kwenye mauzo ya ile nyumba ndio imefanya nisiwe mtoto wake na kilicho nifanya nifungue huu uzi stori ipo ivi.
Tuna nyumba nyingine ambayo nakaa mimi na baba angu mdogo ni nyumba ya baba alijenga, leo asubuhi amemtumia sms baba angu mdogo aniambie niondoke hapa na akija asinikute maana anataka kuipangisha, imenisikitisha sana na kuniumiza mnoo.
Nimewaza nitafute mbinu ya kuiuza hii nyumba pasipo baba na baba mdogo kujua ili niondoke kabisa hii Dar es salaam nikaanze maisha yangu sehemu nyingine, naombeni mbinu na ushauri wenu.
kuna kila dalili kwamba umelogwadegree ya marketing ya chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM-UDBS)