Msaada: Nataka kuuza nyumba maana baba yangu mzazi anadai mimi sio mtoto wake

Mleta mada tafuta mume akulee,mali za baba yako mwachie mwenyewe.
 
Huna akili miaka 41 bado unakaa kwenu na unagombea mali za mzee?
 
Kweli wewe ni KIKOHOZI tena kile Kikavu!
 
Usiuze Nyumba.
Muuze yeye Baba.
 
Miaka 41 unalilia nyumba ya mzee 🤣🤣🤣 mwambie akuuzie chumba kimoja kiwe chako
 
Yani umri wako unarudi nyuma utadhani ni zama za Alexander The Great.

Look here......

 

Amejivua gamba saizi katoka miaka 41 hadi 26
 
Mwanaume miaka 41 unalilia mali za baba yako....

Hii iingizwe kwenye maajabu ya dunia.
Tena comfortable anakuja huku kusema daah Miaka 41 upo Kwa baba Ako Tena unaishi na baba Ako mdogo it means familia Hana anyway life begin at 40
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…