Akishindwa ampeleke mtoto kwa Baba yakeNenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
😂😂😂😂 ukiwa na watoto kipikwe chakula kingi na pia upike bites😂 😂 😂 😂 😂 Mekuacha mama mchwa..!!
Its not an abuse, ukute kasema analokutana naloThis is abuse Watoto wanakula kama Mchwa [emoji4][emoji112]
AU viwavi jeshi?😂😂😂😂 ukiwa na watoto kipikwe chakula kingi na pia upike bites
Maana kila muda wanataka kula 😂😂
Huyo mtoto anahitaji fimbo zakutoshaWeee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Unajua huwa tunapenda kuishi na watoto wetu ,huwa nawashangaa wanao peleka watoto kwa mwanaume ,mwanaume muda mwingi hashindi nyumbani ,mie nakuwa na amani mtoto akiwa na mim usiku nikienda muangalia kalala moyo unapata amaniAkishindwa ampeleke mtoto kwa Baba yake
Njoo kwangu mimi sizinguiSijawahi kwenda mahakamani ila nazani nitaenda kwa ishu kama hii
Nyie wanamke mnazingua sana
Sasa mwembamba mrefuu acha ale anenepe tu siku hizi kaanza nenepa angalau ,acha ale tu halaf anapenda vitu vya kukaanga na kachumbari ananimalizia mafuta huyuuu 😂😂😂Huyo mtoto anahitaji fimbo zakutosha
Hata mahakamani hawawezi mfungaJaribu bi mdogo miye binti yangu kampeleka huko na amishia kupewa barua za wito kumi na mbili jamaa haji na hawamfanyi kitu.
Ushauri nenda kituo cha msaada wa kisheria kwa wanawake WILAD wamburuze mahakamani.
Alivyoona mshahara 2.8 labda alijua akibeba mimba atakuwa na uhakika wa 1m kila mwezi.Kwani mlikubaliana na huyo Mwanaume kuzaa huyo mtoto ?
Kama mlikubaliana inabidi awajibike lakini Kama sivyo wajibika mwenyewe maana ulikuwa na uwezo wa kuzuia usipate hiyo mimba, labda awe alifanya kukubaka.
Alivyoona mshahara 2.8 labda alijua akibeba mimba atakuwa na uhakika wa 1m kila mwezi.Kwani mlikubaliana na huyo Mwanaume kuzaa huyo mtoto ?
Kama mlikubaliana inabidi awajibike lakini Kama sivyo wajibika mwenyewe maana ulikuwa na uwezo wa kuzuia usipate hiyo mimba, labda awe alifanya kukubaka.
Hata dawati hawana lakufanya, hawawezi kulazimisha kituUstawi wa jamii siku hizi wananuka rushwa.
Mpeleke Dawati la Kijinsia Polisi
Basi sawa mama mchwaMchwa utani tu nyie wanavyotafuna mpaka chuma
Na mimi mwenye mpango wa watoto 5 mama tofauti wasemaje?Kwanza hakuna kitu kibaya kama kuzaa watoto tofauti tofauti na hovyo hovyoo inakuwaga tfran tupu