Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Huyo mtoto anahitaji fimbo zakutosha
 
I am too tired to respond to this shit😬😬
kuna wanaume wajinga sana na pia kuna wanawake wajinga zaid. .
 
Jaribu bi mdogo miye binti yangu kampeleka huko na amishia kupewa barua za wito kumi na mbili jamaa haji na hawamfanyi kitu.
Ushauri nenda kituo cha msaada wa kisheria kwa wanawake WILAD wamburuze mahakamani.
Hata mahakamani hawawezi mfunga
 
Ifike mahali wanaume tuwapeleke wanawake mahakamani kama wanabeba mimba bila ridhaa yetu.

Kama mmekubaliana kuwa hakuna kuzaa, ni mwendo wa kufurahishana inakuwaje unakubali kubeba mimba yangu?
 
Kwani mlikubaliana na huyo Mwanaume kuzaa huyo mtoto ?

Kama mlikubaliana inabidi awajibike lakini Kama sivyo wajibika mwenyewe maana ulikuwa na uwezo wa kuzuia usipate hiyo mimba, labda awe alifanya kukubaka.
Alivyoona mshahara 2.8 labda alijua akibeba mimba atakuwa na uhakika wa 1m kila mwezi.
 
Jukumu la malezi ya mtoto ni lenu wote kwahiyo wata angalia baba wa mtoto uwezo wake na pia kuangalia umri wa mtoto pia lakini kama wewe mama unaona 50 inakutosha nani apinge?

Lakini pia lazima wachunguze kwa umakini kwanini baba ataki kutoa matuzo? Sababu kubwa ni ipi wakisha solve iyo sababu ndio wanakuja sawa kufikia muwafaka baba aseme yeye atamtunzajee mtoto kama anataka mtoto akae nae wata angalia umri wa mtoto lakini kama atakuwa anatoa matunzo kwa mtoto je kwa mwezi anaweza kutoa kiasi gani then wata angalia je kias alichotaja baba kina kidhi mahitaji ya mtoto? Na mama ana lipi la kusema kuhusu kias alicho taja baba amekubali au amekataa

Lakini kama mtoto atamchukua baba bas wew mama unatakiwa upekeke pesa ya matunzo kwa baba
 
Back
Top Bottom