Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Kwa hiyo kanirith 😂😂😂
 
Kwa wanawake wenye akili wanahakikisha uhusiano wa bana na mwana unakuwa mzuri ili Mtoto azidi kubarikiwa haijalishi Hata kama bana hakumlea wala kumtunza.
Asilimia kubwa ya wanawake ugomvi wao wanamhusisha mtoto pia
 
Binafsi mwanamke asinizalie kama hatukukubaliana, haya mambo ya kushtukizwa eti nina mimba wakati nimekutana na mwanamke anayejielewa kabisa ni upumbavu mkubwa, nitampeleka kwa pilato akajibu hoja kwa nini abebe mimba bila makubaliano!
 

well said
 
Mtoto hana kosa
Hata sisi hatukuwa na kosa, ila dhambi ya Adam na Hawa ndo imesababisha dunia nzima iibebe.
Vivo hivyo dhambi ya mama inaenda kwa mtoto kama mama ataamua kummiliki mtoto
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
 
Kama hutaki kuzaa na mwanamke unae furahishana nae tumia condom kwa wingi Sana acheni kuzalilisha wanawake watoto wakifankiwa mnaanza kujiliaza kutwa wengine mpaka mintandaoni kutaka huruma shit
Condom zipo unamtaka mwanamke njoo na Kinga zako uone Kama mwanamke atakataa kutumia Kinga na akikataa unamwacha kitandani unasepa zako sio lazima ushiriki nae tendo akikataa halafu sio sifa kukataa kulea mtoto maana mtoto hakwepo muda mnafanya starehe yenu mnaathiri Sana watoto kisaikojia kuweni makini kwenye starehe zenu.Ukipanda karanga utavuna karanga sio nju
 
Hatulei kama wamama mmeamua kuwapa sumu.

Narudia hatulei na hakuna litalotokea
 
 
Naungana na wewe hapa
Hao viumbe ni pasua kichwa sana, kuna mmoja alimbana mshikaji kwamba amezaa mtoto wake na jamaa anaye mke tayari, basi jamaa akamwambia ili mambo yaende sawa waende ustawi wa jamaa ili wakaandikiwe vipimo vya DNA ili ifahamike kisheria kwamba huyo mtoto ni wake, mwanamke hataki anang'ang'ana tu apewe pesa za matumizi. Yaani ilikuwa mtifuano mkubwa hadi leo huyo mwanamke hajafuata utaratibu na jamaa kapotezea.

Halafu mwanamke kama huyo akianza kulalamika utafikiri kaonewa, kumbe yeye mwenyewe ndo kajifanya kichwa maji.​
 
Enzi za kikwete watoto walitibiwa mpaka miaka mitano
Hata mjamzito ilikuwa bure
Maana Toto Afya iliyokuwa inawasave imepigwa pini, hivyo kwa sasa wajitahidi mtoto asiugue
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Pole classmate kwa haya unayopitia
 
Huyu mwanamke ana tamaa na pesa KUTOKANA na Hali ngumu ya maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…