Kwa hiyo kanirith 😂😂😂Huyu Dejane asimsingizie mtoto, hizo tabia zote za mtoto ni zake. Mfundishe mtoto nini ale, asichague chakula uone kama atakusumbua. Kwangu hakuna chakula cha baba wala mtoto(kuna nyumba baba anapikiwa separate, kwangu ni upuuzi mtupu), wote tunakula lilichopikwa na watoto wanafurahia sana tu.
Asilimia kubwa ya wanawake ugomvi wao wanamhusisha mtoto piaKwa wanawake wenye akili wanahakikisha uhusiano wa bana na mwana unakuwa mzuri ili Mtoto azidi kubarikiwa haijalishi Hata kama bana hakumlea wala kumtunza.
Fulana Iliyoandikwa kao Gelo au Miki maus ?😅 😅 😅 kwenye flana, special kabisa nimeinunua
Binafsi mwanamke asinizalie kama hatukukubaliana, haya mambo ya kushtukizwa eti nina mimba wakati nimekutana na mwanamke anayejielewa kabisa ni upumbavu mkubwa, nitampeleka kwa pilato akajibu hoja kwa nini abebe mimba bila makubaliano!Mahusiano yamekua changamoto sana nowdays..very unpredictable. Ifike mahali mwanamke aliyepevuka kimwili na kiakili anapoamua kua na mtoto ajiridhishe kwamba ataweza kupambana na malezi ya mwanae with or without support ya baba mtoto...vinginevyo ni kujinyanyasa kisaikolojia mwisho wa siku mama atachukia hadi mtoto.
We si una roho mbayaaaSio wote mi sinaga time na nyuchi, ila ukizingua hata mia hupewi
Ulizaa mtoto Kwa kuhitaji uwe na mtoto au kumrishidha huyo mwanaume?
Lea mwanao! Angekufa ungeenda kulishtaki kaburi?
Fanya kama hayupo, Lea bila huzuni, ona mwanao ni baraka kuu.
Sali na mtegemee Mungu, atakupa riziki ya mtoto wako.
Ukianza habari za ustawi wa jamii, utapauka Kwa stress, huo muda angalia shughuli ya kufanya.
Mwanaume wa kweli na mtu mzima, hakumbushwi kulea damu yake.
well saidPambana lea mwanao, achana nae.
Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.
Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Huyu naongea nae hapo juu ni katibu Mwenezi wa Chama hicho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee hivi bado wapo tu vijana wa hovyo kiasi hicho[emoji28][emoji1787][emoji1787]
Mtoto hana kosaNi sahihi Mkuu, ila sio jambo zuri kutelekeza watoto wako bila kuwahudumia.
Hata kama huna hela basi ujitahidi hata kidogo kinachopatikana kuwatumia.
Kuna wakati tunaweza kujivunia Nguvu za Ujana tulizonazo lakini kuna wakati utawahitaji hao watoto japo wakusaidie kutoka Nje ya nyumba kwaajili ya kuota Jua na Jioni kukurudisha ndani wakati ukisubiri kufa.
hahahahaFulana Iliyoandikwa kao Gelo au Miki maus ?
Kubali tu kuwa hizo ni tabia zako umempa mtoto bila kujua.Kwa hiyo kanirith [emoji23][emoji23][emoji23]
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Condom zipo unamtaka mwanamke njoo na Kinga zako uone Kama mwanamke atakataa kutumia Kinga na akikataa unamwacha kitandani unasepa zako sio lazima ushiriki nae tendo akikataa halafu sio sifa kukataa kulea mtoto maana mtoto hakwepo muda mnafanya starehe yenu mnaathiri Sana watoto kisaikojia kuweni makini kwenye starehe zenu.Ukipanda karanga utavuna karanga sio njuKama hutaki kuzaa na mwanamke unae furahishana nae tumia condom kwa wingi Sana acheni kuzalilisha wanawake watoto wakifankiwa mnaanza kujiliaza kutwa wengine mpaka mintandaoni kutaka huruma shit
Hatulei kama wamama mmeamua kuwapa sumu.Mpenzi achana na habari za kupelekana ustawi wa jamii, 50000 inatosha nini kwa maisha ya sasa hivi?? Ni mara mia ukamlea mwenyewe mtoto wako kama baba hana habari ya kulea mwanae hakuna haja ya kumlazimisha. Jishughulishe mwanamke mwenzangu umlee mwanao.
Mwanaume ambae halei damu yake ni MPUMBAVU kabisa, haijalishi mna situation gani na mama yake mtoto hahusiki kabisa wewe lea mwanao. Unakuta mwanaume anakambia mm nitatoa ada tuu ambayo ni 800k kwa mwaka means kwa mwezi ni kama anatoa 67,000 sasa si bora akae na hela zake tuu ni dharau sana hiyo.
Nyie kina baba leeni watoto wenu bila kushinikizwa
Sii jogoo tu hata simba dume halei watoto ni jukumu la simba jike! Hivi unajua hata simba jike akipata joto anataka dume bsasi kuwinda swala safi na kuohonga simba dume ili apate nguvu za kutosha kumshughulikia jike vizuri? Hata zamani mwanamme alikuwa anaoa wake watatu yeye anajenga tu nyumba na halafu wanawake wanalima chakula chao wenyewe na kuzaa watoto! Hii ndo asili! Sasa huyo baba hata ukumpeleka ustawi kama ana watoto wengine 10 unafikiria wewe utaambulia nini? Komaa tu tafuta riziki!
Nilijua wake wenza ni kwa Binadamu kumbe hadi Fulana.hahahaha
ina stripes za brown na dark blue, haina jina
ziko mbili
moja inafuliwa nyingine inaingia mzigoni
Me mwenyewe bado nashangaa.Leo kwa mara ya kwanza ndo nasoma kwamba SHERIA HAZIMLINDI MWANAMKE..!!! Dah..!!
Naungana na wewe hapa
Maana Toto Afya iliyokuwa inawasave imepigwa pini, hivyo kwa sasa wajitahidi mtoto asiugueEnzi za kikwete watoto walitibiwa mpaka miaka mitano
Hata mjamzito ilikuwa bure
Pole classmate kwa haya unayopitiaNaombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?