Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Kweli mkuu nikubembeleze kule mtoto wako tena damu yako?? Ni haki hiyo kweli? Nitakubembeleza km ni mpenzi wangu ila sio tumeachana nikubembeleze kulea mwanao
Huo umwamba ndo unawagharimu, punguzeni kulialia kama mnao uwezo wa kupambana.
 
Pambana lea mwanao, achana nae.

Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.

Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Tuwe wakweli. Sio Jogoo wote wanahiyo tabia. Kuna Jogoo wa jirani hapa aligombana na tetea juu ya malezi ya vifaranga vyao 12. Huwezi amini Jogoo yule alilibeba jukumu la malezi mwenyewe hadi hivi vifaranga vikawa kuku wazima wenye afya tele. Sio kila jogoo ana hizo tabia.
 
-Je ulifunga naye ndoa?
  • ana familia/watoto wengine?
  • je una mpa nafasi ya kuonana na mtoto?
-Atunzi mtoto Kwa sbb ana hasira na wewe? CHANZO Nini?
- je umejaribu kutumia njia ya amani kupata fedha ya matunzo?

ANGALIZO:
Hakuna aliyewahi kufungwa kwa kuto toa matunzo.
Anaweza Kuwa na uwezo na Nia ya kutoa sema wewe njia unayotumia sio nzuri. Pengine unachochewa na marafiki,ndugu kwenda ustawi au mahakamani.Kama ni hivi basi una safari ndefu ya mahangaiko yasiyo na matumaini.

Unaweza Kuwa na hasira, chuki au uchungu na mwenzio, kama ni hivi hata maamuzi yako sehemu kubwa sio mazuri. Vaa uanamke, Kuwa na haiba ya kike. mwanaume atajirudi.
Na mtakuwa vizuri tu.

Hizi mambo zenu za usawa, sijui harakati, zina mjeruhi mtu mmoja mmoja Kwa wakati wake. Kisheria (ya zamani) pesa ya matunzo baba anatakiwa kulipa 1000 Kwa mwezi.Jipange!
Maswali yangu naona yote umeyasema ngoja tusubili aje atoe majibu
 
Mi simtetei mtu ambaye mzazi kagoma kutoa matumizi.
Maana ya ndoa tuwaachie wao
Uko sahihi Mkuu, mtoto ni muhimu apate huduma zote muhimu ili kumfanya asome na akue vizuri.

Mtoto kama hatopata huduma bora ndiyo chanzo cha Panyaroad na watoto wa mtaani
 
Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Anza kukachalaza. Huko ni kukosa adabu. Kama kanaona kanaweza kufanya maamuzi kaambie kakajitegemee. Kama kanaishi na mama yake kaishi kwa kanuni za mama yake kaache ujuaji.

Kape stiki.
 
Anza kukachalaza. Huko ni kukosa adabu. Kama kanaona kanaweza kufanya maamuzi kaambie kakajitegemee. Kama kanaishi na mama yake kaishi kwa kanuni za mama yake kaache ujuaji.

Kape stiki.
Sawa sawa anaenda anabadilika
 
Kama mnakaza mafuvu punguzeni kulialia kama huyu mleta mada
Kabisa aisee wakati mwingi ukiwaambia simama utasikia Mie bado sijafika sawasawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shenzy type ukipanda starehe kufurahia utamu kadharika uwe tayari kuyapokea matokeo
 
Uko sahihi Mkuu, mtoto ni muhimu apate huduma zote muhimu ili kumfanya asome na akue vizuri.

Mtoto kama hatopata huduma bora ndiyo chanzo cha Panyaroad na watoto wa mtaani
Mama yake
 
Hao walioko ustawi wajamiii wapo tu kazini ila nikwambie tu ukweli,huwa WANAWADHARAU sana wanawake mnaoenda kudai matumizi ya mtoto,wanawashangaa sana ni vile hawawezi kukuonyesha.

laiti ungekua unayasikia maelezo wanayotoa baada ya wewe kuruhusiwa kuondoka na barua yako ya wito,usingekaa urushe tena mguu kwenye yale majengo.

Kujitia AIBU tu.
 
Watu kama hao unawaacha ma ujeuri wao.
Tatizo la wanawake wakishapata kakipato wanajiona wanajiweza na kutaka panda watu vichwani
wajinga sana hawa bro,,ndo manake Ashraf Hakim yule mchezaji aliwekeza kila ki2 kwa mamake manake alistukia kaoa mwizi,lile jika jinga lilipoona pesa imekua nyingi likaenda mahakamani eti wagawane mali,kumbe mzee ashraf alishampiga chenga ya mwili kitamboooooo!!!! kufika mahakamani ikaonekana jamaa hamiliki chochote zaidi ya nguo za ndani tu!!{hizo ndo alikuwa akijinunulia} vingine vyoe kuanzia mavazi ya nje,viatu,majumba mpaka simu mama yake ndo alikuwa mnunuzi!! unaona bwana,yule mwanake alikuwa mwanamitindo nae alikuwa anautajiri flani ivi,,so mahaka ikaamua yule mwanamke ndo amlipe asharf asilimia 40 ya mali zake!!!..."read that again"
 
wajinga sana hawa bro,,ndo manake Ashraf Hakim yule mchezaji aliwekeza kila ki2 kwa mamake manake alistukia kaoa mwizi,lile jika jinga lilipoona pesa imekua nyingi likaenda mahakamani eti wagawane mali,kumbe mzee ashraf alishampiga chenga ya mwili kitamboooooo!!!! kufika mahakamani ikaonekana jamaa hamiliki chochote zaidi ya nguo za ndani tu!!{hizo ndo alikuwa akijinunulia} vingine vyoe kuanzia mavazi ya nje,viatu,majumba mpaka simu mama yake ndo alikuwa mnunuzi!! unaona bwana,yule mwanake alikuwa mwanamitindo nae alikuwa anautajiri flani ivi,,so mahaka ikaamua yule mwanamke ndo amlipe asharf asilimia 40 ya mali zake!!!..."read that again"
Wanawake wasiojielewa wanapenda ligi sana ila moyoni huuumia wakiwa wenyewe
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Jaribu kutafuta maelewano na mzazi mwenzio, sidhani kma kuna mwanaume anakataa kuhudumia damu yake kirahisi unless kama kuna sababu ambazo hatuzijui zinazomfanya asitoe huduma, either kauli au visa, wanawake tuna visa na maneno makali sana kwa hawa ambao tunataka wahudumie watoto, hatuwapi heshima wala nafasi ya kuwaona watoto na wakati mwingine tunajaribu kuwaharibia hata maisha yao kwa sababu ya ugomvi usio na sababu

Trust me, ukienda huko ustawi unaweza pata msaada lakini mwanaume akasema uwezo wake ni.kutoa elfu kumi kila mwezi na ustawi hawawezi kumlazimisha kutoa pesa zaidi ya hiyo kwa sababu nae ana majukumu yake mengine nje ya hao watoto kwa hiyo ni bora ukatumia hekima na husara kuweka mambo sawa na huyo mwenzio kwa faida ya watoto wenu. ustake maisha ya kukommoana eti kisa anapokea 2.8
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Acha tamaa wewe mwanamke, pambana upate hela uhudumie watoto wako. Mna tamaa sana nyie wanawake.
 
Back
Top Bottom