Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Kwanza kabisa kabla hujaenda naomba kujua ulivyokutana na huyo mzee baba ulikua ukifanya kazi au alikukuta ukiwa huna moja wala 2 😄 maana haki husimama kwa watu wote kama mmekorofiana kaeni chini muyajenge mulee wanenu
 
Kama hawezi kuwalea kwanini alazimishe kubaki nao?
Kama nitahitaji wanangu alafu ukawazuia bila sababu ya msingi, hakika utalea mwenyewe.

Tunasubiri tu hiyo fainali uzeeni ije vyovyote🤣
Uzee unatisha Mkuu, si uliona Baba yake Diamond alivyokuwa anaomba huruma ya Watanzania kuwa ametelekezwa na Mwanaye.

Na mbaya zaidi mtoto ambaye ulimtekeleza unakuta anafanikiwa maisha na wewe ndiyo unakuta hata ugali wa siku unashindwa kumudu kuupata.😅
 
Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Yaàni ni maboss kwelikweli,mtu anapanga masharti Utasema yeye ndio mwenye hiyo nyumba,ukipika maharage anasema sitaki nataka nyama,ukipika nyama anasema nataka Chipsi,ukipika Chipsi anasema nataka samaki aaaaaah hakika hutu tuviumbe ni tusumbufu Sana....Nina kamoja hako kananimbiaga "mama,hii juice sijaipenda"yaàni hapo mie nimejipinda najua katafurahi ,naishia kuchokaa😁😁😁
 
Ulizaa mtoto Kwa kuhitaji uwe na mtoto au kumridhisha huyo mwanaume?

Lea mwanao! Angekufa ungeenda kulishtaki kaburi?

Fanya kama hayupo, Lea bila huzuni, ona mwanao ni baraka kuu.

Sali na mtegemee Mungu, atakupa riziki ya mtoto wako.

Ukianza habari za ustawi wa jamii, utapauka Kwa stress, huo muda angalia shughuli ya kufanya.

Mwanaume wa kweli na mtu mzima, hakumbushwi kulea damu yake.
Hii ni point kubwa kama siyo kuu. Lakini ieleweke kuna wanawake/mabinti ni zaidi ya shetani.
Ni vile wanaume wengi huwa hawazungumzi!
 
Uzee unatisha Mkuu, si uliona Baba yake Diamond alivyokuwa anaomba huruma ya Watanzania kuwa ametelekezwa na Mwanaye.

Na mbaya zaidi mtoto ambaye ulimtekeleza unakuta anafanikiwa maisha na wewe ndiyo unakuta hata ugali wa siku unashindwa kumudu kuupata.😅
Sawa tu hayo ndio maisha. Lakini siwezi kukubali kupelekeshwa na mwanamke wakati huu kisa mtoto.

Yani nikupe maelekezo yanayohusu mtoto ukaidi alafu unategemea niendelee kukusapoti haiwezi kutokea.

Kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake hata hivo kufa anaweza tangalia mtoto mwenyewe au mama.
 
Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Hayo ni malezi ya hovyo! Na hapo ndo umuhimu wa baba katika malezi unapokuja. Mtoto hawezi kukupangia nataka hiki, sitaki hiki.
Mnapokuwa na ka-uwezo kuwapa chakula,nguo na malazi mnadhani ndo kulea!
 
Piga pamba kali za kumtamanisha mwanaume yeyote, kisha muite mzazi mwenzio mmalize tofauti zenu. Hapo itakuwa 'case closed.'
 
😂😂😂nina talaka zangu zote 3 mkuu japo za matamshi
Talaka sio kitu, pigilia pamba shepu ionekane, akikuona apate kigugumizi, mambo yataenda sawa; sasa ukiwa unavaa kama mpika supu wa mnadani, ni nani atakuwa na hamu na wewe, lazima maisha uyaone magumu tu.
 
Sawa tu hayo ndio maisha. Lakini siwezi kukubali kupelekeshwa na mwanamke wakati huu kisa mtoto.

Yani nikupe maelekezo yanayohusu mtoto ukaidi alafu unategemea niendelee kukusapoti haiwezi kutokea.

Kwa sasa kila mtu ashinde mechi zake hata hivo kufa anaweza tangalia mtoto mwenyewe au mama.
Haijalishi mnapitia sintofahamu gani na Mama mtoto, lakini swala la child support ni muhimu kutoa.

Mkishindwana kabisa, ni heri kumchukua mtoto na kumlea mwenyewe Baba, ingawa huwa ni risk sana iwapo utaoa Mwanamke asiyempenda huyo Mwanao, anaweza kumfanyia matendo mengi ya unyanyasaji ukiwa umeenda kazini
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Hesabu zako zinasema utapata ngapi,utapigwa kama hakimi , mi shahara tunakopea
 
wajinga sana hawa bro,,ndo manake Ashraf Hakim yule mchezaji aliwekeza kila ki2 kwa mamake manake alistukia kaoa mwizi,lile jika jinga lilipoona pesa imekua nyingi likaenda mahakamani eti wagawane mali,kumbe mzee ashraf alishampiga chenga ya mwili kitamboooooo!!!! kufika mahakamani ikaonekana jamaa hamiliki chochote zaidi ya nguo za ndani tu!!{hizo ndo alikuwa akijinunulia} vingine vyoe kuanzia mavazi ya nje,viatu,majumba mpaka simu mama yake ndo alikuwa mnunuzi!! unaona bwana,yule mwanake alikuwa mwanamitindo nae alikuwa anautajiri flani ivi,,so mahaka ikaamua yule mwanamke ndo amlipe asharf asilimia 40 ya mali zake!!!..."read that again"
Nadhani ni 50% na sio 40%.
 
Tusaidiane kupaza sauti, suala la Kuachana lisiwe kigezo cha Watoto kunyimwa haki ya kupata mahitaji yao.

Kama Mwanaume hauko tayari kulea na kutoa huduma kwa Mtoto/Watoto wako ni bora kuchukua sheria Mkononi au kutumia Uzazi wa mpango hadi pale utakapokuwa tayari.



Hapana,
Kwani kalenda ya uzazi Mungu kaiweka kwa nani kati ya Mwanaume na mwanamke?
Hivyo anayetakiwa kuchukua tahadhari Kwa kujijua zaidi ni nani ?

Ikitokea vinginevyo mhanga atakuwa nani?

Je huwa wanakubaliana kuzaa?
 
mtoto miaka 2 wa pili miez 4 anamleaje nilimpa mtoto mdog nikashindwa nikamfwata sababu ya tabia za babake alishindwa kumuheshimu mtoto mpaka mwil wake alikuwa analala na wanawake ndan anabadil mbele ya mtoto mpaka mdog wake aliniomba nikamfwate mtoto maan kaka yake hakuwa tabia nzur je kama ww ungefanyaje au unaongea tu?? kama kuaibika nishaaibika sana kashanivua nguo sana kwanza kwetu hakanyagi akitaka kumuona mtoto anaishia barabaran eti nimpeleke mtoto njiani kwel haki? na kuhusu ndug zake siwez walalamikia maan watu huchoka pia na siwez jua anaongea nn kwao
Naomba kukuuliza swali la kizushi. Hivi, huyu Mwanaume ulikutana nae mazingira gani??

Na mlipokutana ulikuwa na malengo gani au ulitegemea kuanzisha nae mahusiano ya namna gani?

Nauliza haya kwasababu nataka nifahamu mazingira gani mlianzia hadi leo muwe katika hali hii.

Nina wasi wasi huyu mwanaume ulianzisha nae mahusiano ili uweze kupata kutumia pesa zake. Uliona ana mshahara mkubwa ukajua ukizaa nae mtoto atakupa attention ya matumizi.

Kwa kifupi ninadhani huu ujauzito ni 90% your decision mwanaume haukumshirikisha hata kidogo. Wanaume wengi wasiolea vizuri watoto wao ukiwauliza mazingira ambayo wameletewa taarifa za ujauzito wengi watakwambia hawaelewi hata imekuwaje mabinti walijiachia hadi ujauzito ukaingia bila kuwashirikisha.

Wengi huwa wanastukia tu ujumbe "Nina ujauzito wako". Halafu kimachofuata hapo ni straight kuanza kutaka matumizi jambo ambalo wanaume huhisi ni mtego walitegewa kitambo sana.

Aiseee.
 
ati halafu aje kujitokeza mtu anajiita baba anaomba mtoto amsaidie, hivi kweli mtoto atamsaidia?

Na wengine watamsema mtoto ati baba ni baba tu, wakati baba mwenyewe ndiyo huyo hataki kusaidia hata shilingi.
Shubamiti, Bangaladeshi mmoja (kwa matusi ya Sanga)!
Vipi mtoto akiwa na maisha ya hovyo na baba yake akapata watoto sehemu nyingine akalea vizuri wakawa na mafanikio wakamsaidia. Hapo itakuwaje kwenye hii story yako?! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba kukuuliza swali la kizushi. Hivi, huyu Mwanaume ulikutana nae mazingira gani??

Na mlipokutana ulikuwa na malengo gani au ulitegemea kuanzisha nae mahusiano ya namna gani?

Nauliza haya kwasababu nataka nifahamu mazingira gani mlianzia hadi leo muwe katika hali hii.

Nina wasi wasi huyu mwanaume ulianzisha nae mahusiano ili uweze kupata kutumia pesa zake. Uliona ana mshahara mkubwa ukajua ukizaa nae mtoto atakupa attention ya matumizi.

Kwa kifupi ninadhani huu ujauzito ni 90% your decision mwanaume haukumshirikisha hata kidogo. Wanaume wengi wasiolea vizuri watoto wao ukiwauliza mazingira ambayo wameletewa taarifa za ujauzito wengi watakwambia hawaelewi hata imekuwaje mabinti walijiachia hadi ujauzito ukaingia bila kuwashirikisha.

Wengi huwa wanastukia tu ujumbe "Nina ujauzito wako". Halafu kimachofuata hapo ni straight kuanza kutaka matumizi jambo ambalo wanaume huhisi ni mtego walitegewa kitambo sana.

Aiseee.

Naomba kukuuliza swali la kizushi. Hivi, huyu Mwanaume ulikutana nae mazingira gani??

Na mlipokutana ulikuwa na malengo gani au ulitegemea kuanzisha nae mahusiano ya namna gani?

Nauliza haya kwasababu nataka nifahamu mazingira gani mlianzia hadi leo muwe katika hali hii.

Nina wasi wasi huyu mwanaume ulianzisha nae mahusiano ili uweze kupata kutumia pesa zake. Uliona ana mshahara mkubwa ukajua ukizaa nae mtoto atakupa attention ya matumizi.

Kwa kifupi ninadhani huu ujauzito ni 90% your decision mwanaume haukumshirikisha hata kidogo. Wanaume wengi wasiolea vizuri watoto wao ukiwauliza mazingira ambayo wameletewa taarifa za ujauzito wengi watakwambia hawaelewi hata imekuwaje mabinti walijiachia hadi ujauzito ukaingia bila kuwashirikisha.

Wengi huwa wanastukia tu ujumbe "Nina ujauzito wako". Halafu kimachofuata hapo ni straight kuanza kutaka matumizi jambo ambalo wanaume huhisi ni mtego walitegewa kitambo sana.

Aiseee.
kakuta kazini nilikuwa nafanya tigopesa enzi izo kariakoo akanipenda akanitongoza akanioa nadhani nmejibu ipasavyo na watoto wamezaliwa ndan ya ndoa
 
wewe sijazaaa ovyo mimi nimeolewa kwa ndoa mpaka vyeti kwahiy unanilaumu kuzaa ndan ya ndoa???

yes sina kazi kwa sababu mwanaume aliniomba nisifanye kaz alipenda mwanamke wa nyumban na alinikataza kipind kashanioa ulitaka nishindane na mwanaume?? nisaidie maan mnatukana tuu kama yeye aliyataka mm nisiwe na kazi imetokea tumeachana inabid awalee watoto wake huku mm nikijipanga upya kutafuta kitu cha kufanya kwa sasa siwez kwa sababu ya kuuguza mtoto na hali yangu kumbuka ndan ya miaka 2 nina opareshen 4 hivyo hata mwili pia haupo sawa
Haya usitufokee sasa hiki ni kikao cha familia dada, kuna wazee hapa , wajomba, wapwa, mabinamu, hebu tafadhali tuliza hasira na jazba tumalize kikao salama.
 
Back
Top Bottom