wajinga sana hawa bro,,ndo manake Ashraf Hakim yule mchezaji aliwekeza kila ki2 kwa mamake manake alistukia kaoa mwizi,lile jika jinga lilipoona pesa imekua nyingi likaenda mahakamani eti wagawane mali,kumbe mzee ashraf alishampiga chenga ya mwili kitamboooooo!!!! kufika mahakamani ikaonekana jamaa hamiliki chochote zaidi ya nguo za ndani tu!!{hizo ndo alikuwa akijinunulia} vingine vyoe kuanzia mavazi ya nje,viatu,majumba mpaka simu mama yake ndo alikuwa mnunuzi!! unaona bwana,yule mwanake alikuwa mwanamitindo nae alikuwa anautajiri flani ivi,,so mahaka ikaamua yule mwanamke ndo amlipe asharf asilimia 40 ya mali zake!!!..."read that again"