Msaada: Nawezaje kufungua akaunti ya UTT?

Una salio la kawaida kwenye simu?
Ndiyo. Wananiambia UTT siminvest imesitishwa, nipige 990.

Hiyo menu niliifungua 22’ wakati nmefungua acc. Sijawahi itumiaga tena
Mwaka jana nikataka kutoa hela, nikaenda ofisini kwao.

Na nmeendelea kuweka
Uwa naweka kutokea CRDB, na nikiiangalia salio kwa app yao nakuta linasoma km kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…