Ndio Ila mpk upate text ndio utajiridhisha mzigo unatokaNgoja nijaribu kuchomoa
Nayo nasubiri 3 days au?
mkuu kunywa pepsi big nimefungua saizi kwa hii menyu yako*150*82# hakikisha unasalio la kawaida sh 100
gwiji wa mfumo
Hongera utaanza kuweka vipande Ila kutoa mpaka ukamalizie usajili kwenye ofisi zao . Hakikisha uende na picha na kitambulisho chako.mkuu kunywa pepsi big nimefungua saizi kwa hii menyu yako
ndio wamenitumia pia text ya ivoHongera utaanza kuweka vipande Ila kutoa mpaka ukamalizie usajili kwenye ofisi zao . Hakikisha uende na picha na kitambulisho chako.
Yes
Ila hiyo mifuko mingine nadhani unasubiri mpk miezi mi3
1% monthlyNikiweka 3M kwa mfuko wa ukwasi nitakuwa napokea gawio la kiasi gani kila mwezi?
kahela kadogo jaman1% monthly
Kama utakuwa na 3m means itaongezeka elf 30… utakuwa na 3,030,000. Next month tena inaongezeka 1% yake hivyo hivyo kadri salio lako linavyopanda
Iweke bank… kama hujakuta iko below 3mkahela kadogo jaman
Yah kuuza. Ndiyo kuwithdraw pesa from UTTKwaiyo hapo unataka uuze
Najaribu. Nitakupa mrejesho
Since upo mwanza nenda pale JB Belmont town floor ya kwanza nadhani utapata huduma na majibu freshWakuu nimejaribu kuangalia kwene website yao sioni hata sehemu ya kulog in.
Asante mkuuSince upo mwanza nenda pale JB Belmont town floor ya kwanza nadhani utapata huduma na majibu fresh
aaahhYah kuuza. Ndiyo kuwithdraw pesa from UTT
Ndiyo. Wananiambia UTT siminvest imesitishwa, nipige 990.Una salio la kawaida kwenye simu?
Kwaiyo bei ya kuuza na kununua ni sawaYes
Ila hiyo mifuko mingine nadhani unasubiri mpk miezi mi3