Msaada: Nawezaje kuhamisha selection yangu kutoka DUCE kwenda UDSM Mlimani kusoma course nyingine tofauti na education

Weka pass zako za A level na O level kwanza tuone evarage yake na course gani unataka kwa UDSM tuone kwanza cut off ya point ya point za O level na A level zikijumlishwa na kutafuta everage tuone kama una fit kujiunga UDSM weka zote hapa pass zako za O level na A level kwa masomo na division ushauriwe
 
Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admissionView attachment 3095928
Huwa kuna dirisha la kuhama kutoka chuo kimoja hadi kingine au kozi moja kwenda nyingine. [TRANSFER WINDOW]. Kuna inter-university transfer (kuhama chuo kimoja kwenda kingine) na Intra-university (hapa ni kuhama au kubadilisha kozi ukiwa ndani ya chuo kimoja tu).

Inter-university transfer: unahama toka chuo A kwenda chuo B ambapo inategemea sababu au lengo la kuhama, mfano unaweza kuhama A kwenda chuo B labda kwa sababu ya mazingira au ada kubwa nk. Au unahama pengine unataka kubadilisha kozi mfano chuo A wamekupanga kozi X lakini wewe unataka kozi Y ambayo labda haitolewi hapo au ipo lakini ada yao ni kubwa sana nk.

Intra-university transfer: hapa ni kuhama kutoka kozi moja mfano X kwenda kozi Y lakini unaifanya ndani ya chuo kimoja tu mfano chuo A.

Kumbuka ukitaka kuhama ni lazima uwe na sababu. Pia huwa kuna vigezo vya kuhama chuo au kozi. Mfano kama unataka kuhama chuo A kwenda chuo B ili ubadilishe kozi/program hakikisha kwamba kuna nafasi za kuhamia zimetolewa, pili hakikisha unafikia vigezo vinavyotakiwa ya hiyo program/kozi mfano kama cut off points zinazohitajika ni 4 nk hakikisha unazo. Vivyo hivyo ukitaka kubadilisha kozi ukiwa ndani ya chuo kimoja kinachotakiwa ni ufaulu wako, cut off points za kozi/program husika.
 
Mimi ninatak kutoka DUCE kwenda udsm mlimani kupiga law
 

Attachments

  • Screenshot_20240915-085224_1.jpg
    94.1 KB · Views: 9
Kama unavyoona hapo nmeke

Kam unavyoona hapo kwny selection yangu nmekua selected Moja kwa Moja education lakn hiyo selected in a more preferred program sijaelew inakuaj
Uitakiwa utangulie kuchagua Law kwanza kabla ya education. Je una ufaulu

wa kuweza kudahiliwa kwenye Law UDSM pia mbona hutumi matokeo yako watu

wakushauri vizuri.
 
Kama unavyoona hapo nmeke

Kam unavyoona hapo kwny selection yangu nmekua selected Moja kwa Moja education lakn hiyo selected in a more preferred program sijaelew inakuaj
Ungeeza kuchagua law kabla ya Education alafu pili tuma matokeo yako

ili watu wajue kama una sifa za kuweza kudahiliwa Law UDSM
 
Ungeeza kuchagua law kabla ya Education alafu pili tuma matokeo yako

ili watu wajue kama una sifa za kuweza kudahiliwa Law UDSM
Shida ndo hiyo Kuna me alinifanyia application na me sikutaka kwenda education kabisa
 
Jaribu kuomba Vyuo vingine kozi hio hio unayoipenda,hakikisha una meet vigezo ili iwe rahisi kuchaguliwa..

Kuhusu kuhama sijui nikushaurije apoo maana unaweza kwenda chuo ukisubiri dirisha usifanikiwe pia la msingi hangaika na watu unaowajua wa UDSM do or die uone unapataje Msaada katika suala lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…