Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Msaada: Ni zaidi ya nusu mwaka sasa tunatafuta mtoto bila mafanikio, tatizo linaweza kuwa nini?

Kuuna wanaume wa ajabu kweri kweri,kuna binti kadumu kwenye ndoa miaka 8 bila mtoto hadi mwanamume akamfukuza kuwa ni tasa,aliporudi nyumbani nikaanza kumfuatilia akawa ameingia kwenye 18,mara moja baada ya mwezi ananiambia haoni siku zake,kwenda kupima akabainika kuwa na ujauzito,amejifungua sasa mapacha

Wanaume wamekalili utasa uko kwa mwanamke,ndo maana matatizo mengi ya kukosa watoto lawama huelekezwa kwa mwanamke
Mke wako anajua lakini kama umezalisha nje ya ndoa?
 
Duuuh yaani nusu mwaka tu unaanza kumtafuta mchawi .

Mm nilikaa 5years kwenye ndoa ndio nikapata mtoto wa kwanza na hatukua na shida yoyote,

Labda niongee jambo Moja japo sio wote wanaweza wakalielewa Kwa haraka

Kupata mtoto sio matokeo ya kufanya tu ngono/tendo la ndoa

Mtoto ni Mungu ndio anaruhusu azaliwe na ndio maan unaona una nusu mwaka mnasex na mko normal na hujapata

Iko hv japo na hii unaweza usiielewe

kila unayemwona kazaliwa duniani huja Kwa sababu maalumu na Kwa wakati maalumu japo sisi wanadamu Huwa tunataman pale tunapotaka mtoto basi tupate wakati huohuo

Ndio maana Kuna mtu unaweza mkuta anawatoto 5 wewe Hata mmoja huna lakin katika hao wa 5 hakuna Cha maana wanachosaidia au leta impacts katika ulimwengu

Halafu wewe wakwako anayechelewa kuja gafla akifika unashangaa anakuja na mambo ambayo Dunia ilikuwa inayasubiri Kwa miaka mingi

Fanya utafiti wako binafsi watoto wengi ambao kuzaliwa kwao kulipatikana kwa namna zisizo za kawaida na wenyewe huwa sio wakawaida

Mfano nimekwambia hapo juu mm nilikaa kwenye ndoa Kwa 5 years wapo wadogo zangu walikuwa na watoto wapo shemeji zangu walikuwa na watoto

Lakini ukweli siku alipozaliwa mwanangu kila mtu aliona sio mtoto wa kawaida yamkini ndio maana alikuwa anachelewa kuja.

Ngoja nitumie mfano huu pengine unaweza nielewa kidgo.

Note: Muda uliozaliwa na mahali ulipozaliwa pamebeba Kusudi lako.

Sijui kama umewahi kuwaza kama Yesu angezaliwa Tanzania je angefanikiwa kutimiza Kusudi?

-Haiko katika tamaduni zetu watanzania kumsulubisha mtu msalabani hata kama amefanya kosa Gani, lakini alizaliwa islael enzi za utawala wa kirumi ambapo hao walikuwa na utamaduni wa kusulubisha wakosaji msalabani.

Lakini pia hata kama angezaliwa hukohuko Islaeli alikozaliwa kma ingekuwa ni Karne hizi vilevile Kusudi lingekuwa gumu kulitimiza Kwa njia Ile

kipindi hiki ambacho Dunia ni kama Kijiji na kwa mtu maarufu kama Yesu asingeweza kuhukumiwa bila kosa , Kisha Dunia inyamaze
Watu wa haki za binadamu wangekuja n.k

Kwanini nimetoa mifano hiyo nataka niendelee kukutia moyo Mtoto sio tu dhana ya matokeo ya tendo la ndoa Bali ni Kusudi la Mungu juu ya kutimiza jambo Fulani duniani
Na ndio maana Kuna mtu anabakwa na kushika mimba papohapo na Kuna wewe unafanya Kwa style zote then hakuna mimba.

Kuna rafiki yangu sitomtaja jina ila yeye alikuwa na kasumba ya kila mkewake akishika mimba inatoka ,zilitoka mimba 5 wakawa wanamwomba tu Mungu

siku Moja akashika mimba nyngine Ile mimba ilikaa siku ya kuja kujifungua alijifungua mapacha watatu wawili ni boys na mmoja ni girls hii sio story ni real kwasasa anaishi Arusha, akajikuta kawapita Hadi wale waliomtangulia kuzaa yeye anawatatu ndani ya miaka 2 wenzake wana mmoja


Nimalize kwa kusema nenda hospital chukua ushauri wote wa daktari fuata taratibu zote ,yawezekana mwanao ndio mkombozi wa Tanzania ya kesho tunayoitaka hivyo anasubiri azaliwe kwa wakati sahihi 🙏🙏
 
Habari wadau,

Suala hili linaumiza kichwa. Kwa mujibu wa shirika la afya wanasema mwanamke akitimiza mwaka bila kuzaa na anashiriki tendo, basi huyo ni tasa. Sasa ni zaidi ya nusu mwaka mtoto anatafutwa bila mafanikio. Najua humu kuna wataalamu na wajuzi wa hizi changamoto.

Kama mwanamke hana changamoto zozote na mfumo wake uko sawa, tatizo nini. Ni umri? maana ana miaka 37 sasa. Kwani kwa umri huo inashindikana nini kupata ovulation? Wajuzi tusaidiane hapa.
Nilibahatika kupata dawa, Mimi na Mke wangu. (BUKOBA). Ni za asili na tabibu mwenyewe ni mkunga wa asili.

Nitakuombea mawasiliano ama nitakuagizia. (Gharama za usafirishaji na dawa ni juu yangu, baada ya matokeo chanya utanirejeshea ).
 
Nilibahatika kupata dawa, Mimi na Mke wangu. (BUKOBA). Ni za asili na tabibu mwenyewe ni mkunga wa asili.

Nitakuombea mawasiliano ama nitakuagizia. (Gharama za usafirishaji na dawa ni juu yangu, baada ya matokeo chanya utanirejeshea ).
Loh! 🙏 natanguliza shukrani zangu za dhati kabisa
 
Miezi sita ni michache sana Mkuu, Usikate tamaa wala usianze kutafuta DAWA mapema hii. ila ikifikia miaka miwili nicheki nikuunganishe na mtaalam atakupa dawa
 
Duuuh yaani nusu mwaka tu unaanza kumtafuta mchawi .

Mm nilikaa 5years kwenye ndoa ndio nikapata mtoto wa kwanza na hatukua na shida yoyote,

Labda niongee jambo Moja japo sio wote wanaweza wakalielewa Kwa haraka

Kupata mtoto sio matokeo ya kufanya tu ngono/tendo la ndoa

Mtoto ni Mungu ndio anaruhusu azaliwe na ndio maan unaona una nusu mwaka mnasex na mko normal na hujapata

Iko hv japo na hii unaweza usiielewe

kila unayemwona kazaliwa duniani huja Kwa sababu maalumu na Kwa wakati maalumu japo sisi wanadamu Huwa tunataman pale tunapotaka mtoto basi tupate wakati huohuo

Ndio maana Kuna mtu unaweza mkuta anawatoto 5 wewe Hata mmoja huna lakin katika hao wa 5 hakuna Cha maana wanachosaidia au leta impacts katika ulimwengu

Halafu wewe wakwako anayechelewa kuja gafla akifika unashangaa anakuja na mambo ambayo Dunia ilikuwa inayasubiri Kwa miaka mingi

Fanya utafiti wako binafsi watoto wengi ambao kuzaliwa kwao kulipatikana kwa namna zisizo za kawaida na wenyewe huwa sio wakawaida

Mfano nimekwambia hapo juu mm nilikaa kwenye ndoa Kwa 5 years wapo wadogo zangu walikuwa na watoto wapo shemeji zangu walikuwa na watoto

Lakini ukweli siku alipozaliwa mwanangu kila mtu aliona sio mtoto wa kawaida yamkini ndio maana alikuwa anachelewa kuja.

Ngoja nitumie mfano huu pengine unaweza nielewa kidgo.

Note: Muda uliozaliwa na mahali ulipozaliwa pamebeba Kusudi lako.

Sijui kama umewahi kuwaza kama Yesu angezaliwa Tanzania je angefanikiwa kutimiza Kusudi?

-Haiko katika tamaduni zetu watanzania kumsulubisha mtu msalabani hata kama amefanya kosa Gani, lakini alizaliwa islael enzi za utawala wa kirumi ambapo hao walikuwa na utamaduni wa kusulubisha wakosaji msalabani.

Lakini pia hata kama angezaliwa hukohuko Islaeli alikozaliwa kma ingekuwa ni Karne hizi vilevile Kusudi lingekuwa gumu kulitimiza Kwa njia Ile

kipindi hiki ambacho Dunia ni kama Kijiji na kwa mtu maarufu kama Yesu asingeweza kuhukumiwa bila kosa , Kisha Dunia inyamaze
Watu wa haki za binadamu wangekuja n.k

Kwanini nimetoa mifano hiyo nataka niendelee kukutia moyo Mtoto sio tu dhana ya matokeo ya tendo la ndoa Bali ni Kusudi la Mungu juu ya kutimiza jambo Fulani duniani
Na ndio maana Kuna mtu anabakwa na kushika mimba papohapo na Kuna wewe unafanya Kwa style zote then hakuna mimba.

Kuna rafiki yangu sitomtaja jina ila yeye alikuwa na kasumba ya kila mkewake akishika mimba inatoka ,zilitoka mimba 5 wakawa wanamwomba tu Mungu

siku Moja akashika mimba nyngine Ile mimba ilikaa siku ya kuja kujifungua alijifungua mapacha watatu wawili ni boys na mmoja ni girls hii sio story ni real kwasasa anaishi Arusha, akajikuta kawapita Hadi wale waliomtangulia kuzaa yeye anawatatu ndani ya miaka 2 wenzake wana mmoja


Nimalize kwa kusema nenda hospital chukua ushauri wote wa daktari fuata taratibu zote ,yawezekana mwanao ndio mkombozi wa Tanzania ya kesho tunayoitaka hivyo anasubiri azaliwe kwa wakati sahihi 🙏🙏
Ndugu Genio shukrani sana kwa maelezo yako mema. Barikiwa sana. Tunapoendelea kumwomba Mungu, hatuachi kutenda, ikiwa ni pamoja na kusaka tiba sahihi 🙏
 
Back
Top Bottom