MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

Tafuta dawa ya citalopram uwe unameza kidonge kimoja saa moja kabla ya tendo.
 
Kwa uande wangu napiga cha kwanza kwa dakika 3 hadi 5 then cha pili itarudi baada ya dakika 15 ambayo itadumu kwa dakika 30 hadi 45. Hapo kuna shida
?
 
Umeweka cheklist ambazo huwa ndo sababu kubwa.
1.mazoezi
2.utakuwa ulishawahi sumbuliwa na ngiri utogoni au ulikaa sehem zenye baridi?
 
Umeweka cheklist ambazo huwa ndo sababu kubwa.
1.mazoezi
2.utakuwa ulishawahi sumbuliwa na ngiri utogoni au ulikaa sehem zenye baridi?
Hapana mkuu sijawahii kusumbuliwa na ngirii,,kwenye mazoezii kwelii mm ni mvivu kwenye eneo hilo ila pia nilishawahii kukaa sehemu yenye baridii
 
Tatizo lako linaweza kuwa saikorojia tu. Kuna uwezekano kuna mechi moja tu ya nyuma ndio iliyotengeneza yote. Mpaka sasa hujiamini. Unaweza kujitibu mwenye kwa mambo yafuatayo.
1. Anza kufanya mazoezi makali kidogo yasiyopungua saa 1, kila siku.
2. Ukitoka mazoezi zoea kunywa maziwa na karanga mbichi. Karanga mbichi inaweza kuwa kikombe kimoja kikubwa cha chai kila siku.
3. Zoea kula vyakula vya asili,kama matunda,vyakula vya kuchemsha chemsha. Achana na chips chips hizi.
4. Usifanye tendo la ndoa mara kwa mara kwa mara. Muda wa tiba unaweza kupumzika hata wiki 3 na zaidi.
5. Siku ya tendo jiamini. Kujiamini huko kuwe jiambie *HATA UKISHINDWA HAKUNA TATIZO KSBB SIO KITU MUHIMU NA CHA LAZIMA CHA KUKUFANYA KUSHINDWA KUISHI.
6. Ukitaka kuwa vizuri jitengeneze mwenyewe kisaikorojia. Lifanye hili tendo ni kitu cha kawaida tu,hata usipofanikiwa jione tu wewe ni muhimu tu kuliko tendo lenyewe. Lifanye hilo tendo ni kitu punje tu ktk maisha yako.
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Dunian wawil watu wa hiv au uko peke yako kaka..
Yaan hujawai piga nyeto
Hunywi,hutumii chochote

Na show hupigii..haingii akilini..sasa kujizuia kote huko kumekusaidia nn maishan
 
Dunian wawil watu wa hiv au uko peke yako kaka..
Yaan hujawai piga nyeto
Hunywi,hutumii chochote

Na show hupigii..haingii akilini..sasa kujizuia kote huko kumekusaidia nn maishan
Huo ndio ukwelii kaka,lkn pia Sio kwamba najizuia kufanya vitu hivyo but Sipo interested tuu na vitu hivyo
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Tafuta hela tu
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Nitafute PM kama hautajali.
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Jiamini tu utaweza
 
Nenda hospital wakucheki inawezekana hormone zako za kiume(testosterone) ziko chini mno.....! Maana hujawahi kupiga punyeto hiyo ina maana una low sex libido, tatizo litakua hormone nenda hospital una tatizo
 
Back
Top Bottom