Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Huna shida
ni Anxiety tu inakuangausha.
calm doooooown.
ni Anxiety tu inakuangausha.
calm doooooown.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye uzi wake Test kit zimekuja huku usizubae. 😂😂Em njoo tujaribu nijue tatizo liko wapi
Hapana mkuu sijawahii kusumbuliwa na ngirii,,kwenye mazoezii kwelii mm ni mvivu kwenye eneo hilo ila pia nilishawahii kukaa sehemu yenye baridiiUmeweka cheklist ambazo huwa ndo sababu kubwa.
1.mazoezi
2.utakuwa ulishawahi sumbuliwa na ngiri utogoni au ulikaa sehem zenye baridi?
Dunian wawil watu wa hiv au uko peke yako kaka..Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Huo ndio ukwelii kaka,lkn pia Sio kwamba najizuia kufanya vitu hivyo but Sipo interested tuu na vitu hivyoDunian wawil watu wa hiv au uko peke yako kaka..
Yaan hujawai piga nyeto
Hunywi,hutumii chochote
Na show hupigii..haingii akilini..sasa kujizuia kote huko kumekusaidia nn maishan
Tafuta hela tuHabarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Nitafute PM kama hautajali.Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Jiamini tu utawezaHabarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
NakujaEm njoo tujaribu nijue tatizo liko wapi