MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

MSAADA: Nimedharirika Sana Jana mbele ya Mwanamke

Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.

Duuh,wengine tunakosa hela tu za kuhonga mbususu,wengine mbususu zipo tele ila jogoo halipandi mtungi,kweli Dunia ya mungu mali za mzungu.
 
Acha punyeto na kuangalia video za ngono. Jf watu wazima tupo narudia acha kabisa kujichua na itakuchukua muda mrefu kurudi katika hali ya kawaida ila cha kwanza acha upigaji wa punyeto then mengine tutaelekezana baadae.
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Kuwa mwembamba sio kigezo cha afya njema, unaweza kuwa mwembamba unhealthier, na unawweza kuwa kibonge healthier.

Cheki BMI yako.
Ukiweza cheki cholesterol level
Cheki blood BP
Cheki sugar
 
Wakuu mkimaliza story ya Mercy kuna nyingine ya Jane uku mtoto wa Singida

 
Tatizo lako linaweza kuwa saikorojia tu. Kuna uwezekano kuna mechi moja tu ya nyuma ndio iliyotengeneza yote. Mpaka sasa hujiamini. Unaweza kujitibu mwenye kwa mambo yafuatayo.
1. Anza kufanya mazoezi makali kidogo yasiyopungua saa 1, kila siku.
2. Ukitoka mazoezi zoea kunywa maziwa na karanga mbichi. Karanga mbichi inaweza kuwa kikombe kimoja kikubwa cha chai kila siku.
3. Zoea kula vyakula vya asili,kama matunda,vyakula vya kuchemsha chemsha. Achana na chips chips hizi.
4. Usifanye tendo la ndoa mara kwa mara kwa mara. Muda wa tiba unaweza kupumzika hata wiki 3 na zaidi.
5. Siku ya tendo jiamini. Kujiamini huko kuwe jiambie *HATA UKISHINDWA HAKUNA TATIZO KSBB SIO KITU MUHIMU NA CHA LAZIMA CHA KUKUFANYA KUSHINDWA KUISHI.
6. Ukitaka kuwa vizuri jitengeneze mwenyewe kisaikorojia. Lifanye hili tendo ni kitu cha kawaida tu,hata usipofanikiwa jione tu wewe ni muhimu tu kuliko tendo lenyewe. Lifanye hilo tendo ni kitu punje tu ktk maisha yako.
Nilianza kuwa na performance nzuri baada ya kuizingatia hiyo namba sita.
 
Dkk mbili mbona nyingi hvy, kwan unataka kunyofoka na uzazi wa mtu mpaka umfanye dkk zote hizo mbili.?
 
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo

Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.

Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Kwanini hujawahi kupiga punyeto ndio sababu ya kwanza
 
Hapana mkuu sijawahii kusumbuliwa na ngirii,,kwenye mazoezii kwelii mm ni mvivu kwenye eneo hilo ila pia nilishawahii kukaa sehemu yenye baridii
1.Fanya mazoezi hasa kukimbia
2.Kunywa sharubati ya miwa(juice) sana
3.Tafuna sana sukari mawe.
Tende+maziwa+alkasusu+tangawizi(hii imekamilika)..
Haya usilalamike formula hizo tayari fanya utakayoweza.
 
Back
Top Bottom