Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana kwa mwanaume kushindwa kuandika herufi za maneno madogo madogo kama hilo. Huyo mtu sidhani kama anaweza kuandika hata neno ng'ombeWakushauri
Tupunguzeni uongo. Tukumbuke tu kuwa jehanam lipoMazoezi ya kukimbia + kegel Exercise.
Thread closed.
[emoji23]Isipokuwa mimi na mtoa mada. Binafsi mapenzi nilikwishaachana nayo zamani tuMimi naona apo shida ni hofu ambayo inaweza sababishwa na vitu vifuatavyo
✓Msongo wa mawazo ( too much expectations)
✓ mtu uliye kutananae ulikua unamuogopa au ujamzoea
Subili waje wajuzi wa aya mambo maana jamiiforum Kila mtu anaunganisha bao pia anapiga zaid ya 4 Kila bao linachukua dakika 45+ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona apo shida ni hofu ambayo inaweza sababishwa na vitu vifuatavyo
✓Msongo wa mawazo ( too much expectations)
✓ mtu uliye kutananae ulikua unamuogopa au ujamzoea
Subili waje wajuzi wa aya mambo maana jamiiforum Kila mtu anaunganisha bao pia anapiga zaid ya 4 Kila bao linachukua dakika 45+ [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NakaziaFanya mambo mengine
Ndo swali gani hili?Ulishawahi kuliwa na wenzio huko nyuma?
Haya ndio matatizo yako ya kwanza. Ysn mchawi yuko hapa kuelekea kutafuta tiba ya kudumu(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
Unamaanisha Nini mkuu na hivyo vitu sijawahii kuvifanya ndio maana nikaandika mapema ili mtu anaponishaurii ajuee kabisaa kwamba tatizo langu halitokanii na hivyo vitu ambavyo mara nyingi ndivyo vinavyosabababishaHaya ndio matatizo yako ya kwanza. Ysn mchawi yuko hapa kuelekea kutafuta tiba ya kudumu
Kupitia punyeto unaweza kujua wewe una tatizo gani hasa. Nakushangaa unavyosema eti hujawahi kugusa nyeto kabisa. Kupitia punyeto na porn unaweza kujua kama una tatizo la psychology na confidence, kwa muda gani unaweza kaa kiunoni. Hilo tatizo hujawahi kupitia wewe peke yako na sina maana uanze kuangalia porn na kupiga nyeto ila kiukweli mimi hivyo vitu vimenisaidia mno. Muhimu ni kurekebisha saikolojia yako ona kama ni jambo la kawaida tu usilitilie sana maananiUnamaanisha Nini mkuu na hivyo vitu sijawahii kuvifanya ndio maana nikaandika mapema ili mtu anaponishaurii ajuee kabisaa kwamba tatizo langu halitokanii na hivyo vitu ambavyo mara nyingi ndivyo vinavyosabababisha
Na asahohishe kuwa AMEDHALILIKA...Pole sana kunywa maji kwanza alafu tuje kukupa Pole zaidi
Najua ndio maana nimekwambia. Unajua kwa nini umerudi kule kule? Umeiacha hii itembee kichwani mwako. Badala yake unaruhusu wasiwasi wa je nitamtimizia huyu demu mbele yangu. Badala ya kulichukulia kawaida kama mnaenda kupiga story tu,ondoa kabisa na habari za mitaani kuwaza kwanza kumfurahisha mtu.Nilianza kuwa na performance nzuri baada ya kuizingatia hiyo namba sita.