Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilijidanganya nikaweka,lkn kwa takribani wiki mbili nikila chakula sikusikia radha yake .Eti jamani,. Anasema alitia kwenye jino lililotoboka zamani sijui 2014 huko mpaka leo ana matatizo ya fizi na meno,. Na ananuka mdomo kweli kweli hata atumie dawa ipi kama ameoza aisee
Ingekuwa tumboni si angekuwa ashakufa jamani,.Duh pole yake na ukute aliunguza vitu tumboni ndo maana mdomo ukaanza kutema 😆
Na wengine watasahau kupiga mswaki leo 😂 😂 😂Hi thread inaenda kasi kisa picha ya mtoa mada
😂😂 kisa pichaNa wengine watasahau kupiga mswaki leo 😂 😂 😂
Sio Kila kitu hospital unaweza mwili wa binadamu ni jukumu lako kutouchezea huyo alileta utani na mdomo wakeNachoshindwa kuelewa ni kwamba hospitali hakuna treatment labda za kumweka sawa?,. Maana anasema huwa anaenda lakini hawajai kumsaidia chochote🤔
Pole mkuu vipi lilipona sasa??,. Watu wengine wanasambaza habari za uongo msiwe mnawafatilia maji ya betri mmmnhNilijidanganya nikaweka,lkn kwa takribani wiki mbili nikila chakula sikusikia radha yake .
Asante kwa niabaPole sana
Dooh,.Sio Kila kitu hospital unaweza mwili wa binadamu ni jukumu lako kutouchezea huyo alileta utani na mdomo wake
Anakufa taratibu na ni wa kike auIngekuwa tumboni si angekuwa ashakufa jamani,.
Angeenda kung'oa shughuli ikaisha dawa ya jino kulitoaDooh,.
Sema unajua kwenye maumivu mtu akisikia chochote kile ni dawa atataka ajaribu aone
Tajiri acha kuruka na mademu wa hovyo,Aseee Kuna hii kitu imetokea kwenye Tupu yangu, inaweza ikawa ni tatizo gani
Kumradhi , nimeambatanisha na pichaView attachment 3225619
Ni mama mtu mzima,. Around 50-60yrsAnakufa taratibu na ni wa kike au
Hayo maji kuna mtu yalishamuua kwa kuweka kwenye anus et dawa ya bawasiriDooh,.
Sema unajua kwenye maumivu mtu akisikia chochote kile ni dawa atataka ajaribu aone
Hapana sikupona mpaka nilipoamua kuling'a mwaka 2016 mpaka leo naishi kwa amani.Pole mkuu vipi lilipona sasa??,. Watu wengine wanasambaza habari za uongo msiwe mnawafatilia maji ya betri mmmnh