Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
 
Huwezi kuuza kwa mtu mwingine mkuu bila ridhaa ya pande zote mbili kwamba uuze umrudishie pesa. Unachoweza kufanya ni kumshtaki kwa kukiuka mkataba kisha aitwe kujieleza. Hata hivyo Kuwa makini na hii aina ya migogoro, kama yupo tayari kulipa ni bora ukamalizana naye muachane kila mtu aendelee na mambo yake. Tanganyika mambo ni mengi.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lkn alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni. Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua...nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema?? Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake
Naombeni maoni na ushauri

Chukua hela.. ni kweli amevunja mkataba lakini.. wewe unaelewa pesa saa nyingine hupati kama unavyotaka.. mambo ni mengi.. chukua tu hiyo hela , mradi uliamua kuuza.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lkn alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni. Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua...nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema?? Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake
Naombeni maoni na ushauri
Pole ila fuata matakwa ya mkataba ambayo wote mlisaini... umesema akichelewa anatakiwa alipie hiyo asilimia 18 sasa kama hatolipa hizo asilimia ni nini kinafuata na huko kuchelewa ni kwa muda gani na je hizo asilimia zinaenda zikiwa zinaongezeka kila baada ya huo muda wa ucheleweshaji unapojidouble?

Na wewe kuuza nyumba mara ya pili unasimamia kipengele gani cha kimkataba?
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lkn alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni. Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua...nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema?? Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake
Naombeni maoni na ushauri
Ninachokiona hapa umeshakula hela yote ya awali, na sasa unajuta uamuzi ulioufanya maana hiyo hela anayotaka kumalizia pengine ni ndogo haimalizi shida zako.

Ushauri: Pokea hiyo hela mmalizane kama kweli hukuuza nyumba kwa sababu ya shida au kukurupuka
 
Mkuu ngaiwoye, nilishawahi kukaa kwenye shauri la ardhi, lilianza kama masihara lakini ilikula miaka 6.. nilijipambania mwaka wa kwanza nikaona muda unapotea kwenda kushinda kwenye cordor za mabaraza.. nikaweka wakili miaka mitano, ni hela inatembea..

Ngoma nilienda kushindia mahakama kuu na wakasema kila mtu atabeba gharama zake hivyo hazikurudi, jamaa hajakata rufaa na muda wake ulishaisha lakini nimeambiwa jengo alilojichanganya kulijenga siwezi kuliendeleza na kuliondoa inabidi nikafate tuzo etc..

Kasema tuelewane sema nna hasira za miaka yangu sita iliyopotea. Mtu akiniomba nimshauri kuhusu kesi za ardhi na madai, namuambia ajaribu kutatua bila mahakama kama hiyo njia iko wazi.
 
Huwezi kuuza kwa mtu mwingine mkuu bila ridhaa ya pande zote mbili kwamba uuze umrudishie pesa. Unachoweza kufanya ni kumshtaki kwa kukiuka mkataba kisha aitwe kujieleza. Hata hivyo Kuwa makini na hii aina ya migogoro, kama yupo tayari kulipa ni bora ukamalizana naye muachane kila mtu aendelee na mambo yake. Tanganyika mambo ni mengi.
Sahihi kabisa
 
Mkuu ngaiwoye, nilishawahi kukaa kwenye shauri la ardhi, lilianza kama masihara lakini ilikula miaka 6.. nilijipambania mwaka wa kwanza nikaona muda unapotea kwenda kushinda kwenye cordor za mabaraza.. nikaweka wakili miaka mitano, ni hela inatembea..

Ngoma nilienda kushindia mahakama kuu na wakasema kila mtu atabeba gharama zake hivyo hazikurudi, jamaa hajakata rufaa na muda wake ulishaisha lakini nimeambiwa jengo alilojichanganya kulijenga siwezi kuliendeleza na kuliondoa inabidi nikafate tuzo etc..

Kasema tuelewane sema nna hasira za miaka yangu sita iliyopotea. Mtu akiniomba nimshauri kuhusu kesi za ardhi na madai, namuambia ajaribu kutatua bila mahakama kama hiyo njia iko wazi.
The best ni kuelewana tu kesi zina mambo mengi sana ,kupoteza hela ,muda , kuuana na kadhalika
 
Mkuu ngaiwoye, nilishawahi kukaa kwenye shauri la ardhi, lilianza kama masihara lakini ilikula miaka 6.. nilijipambania mwaka wa kwanza nikaona muda unapotea kwenda kushinda kwenye cordor za mabaraza.. nikaweka wakili miaka mitano, ni hela inatembea..

Ngoma nilienda kushindia mahakama kuu na wakasema kila mtu atabeba gharama zake hivyo hazikurudi, jamaa hajakata rufaa na muda wake ulishaisha lakini nimeambiwa jengo alilojichanganya kulijenga siwezi kuliendeleza na kuliondoa inabidi nikafate tuzo etc..

Kasema tuelewane sema nna hasira za miaka yangu sita iliyopotea. Mtu akiniomba nimshauri kuhusu kesi za ardhi na madai, namuambia ajaribu kutatua bila mahakama kama hiyo njia iko wazi.
Acha mkuu, halafu inaanzaga kama vile inaisha kesho ila ndo hivyo hutaamini.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
nyumba kama naijua hii. ipo bagamoyo?
 
Aisee mkataba kaandika mwanasheria wake sio kuta utakua sana upande wake.
Mkataba unasemaje akipitiliza malipo, na akishindwa kulipa hiyo adhabu ya 18% ni hatua gani ww uchukue??

Kuuza nyumba na kumrudishia gharama lipo kwenye mkataba??

Kwanini hukumrudishia pale alipotaka ila unataka kumrudishia sasa ambapo na yeye anataka kulipa??

Itaneni chemba na wewe ukiwa na mwanasheria wako mtete kiume. Msije kuuana kindezi.
 
Back
Top Bottom