Chukua pesa iliyobaki Kisha uendelee na shughuli zako ,ogopa kitu kesi hata kama una uhakika wa kushinda ,lazima upigwe tarehe hadi kichwa kikukae sawa.hapo kuja kupata suruhu ukipeleka kesi kwenye mabaraza ya ardhi ni zaidi ya miaka mitatu.
endesha kesi pale panapokuwa hakuna suruhu,ila kama Kuna suruhu jaribu kufuata suruhu kwanza,
Nina kesi Baraza la ardhi wilaya ,huu ni mwaka wa nne tunajisomba Barazani,kula na kulala ni gest house,kesi yenyewe ni kumfukuza baba mdogo kwenye nyumba Ambayo ni ya baba yangu,baba mdogo anadai nyumba ni yake na amefoji barua za manunuzi, Mimi Nina Ofa na hati yenye kuonesha umiliki halali wa kiwanja hicho toka mwaka 1972,