Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

Chukua pesa iliyobaki Kisha uendelee na shughuli zako ,ogopa kitu kesi hata kama una uhakika wa kushinda ,lazima upigwe tarehe hadi kichwa kikukae sawa.hapo kuja kupata suruhu ukipeleka kesi kwenye mabaraza ya ardhi ni zaidi ya miaka mitatu.

endesha kesi pale panapokuwa hakuna suruhu,ila kama Kuna suruhu jaribu kufuata suruhu kwanza,

Nina kesi Baraza la ardhi wilaya ,huu ni mwaka wa nne tunajisomba Barazani,kula na kulala ni gest house,kesi yenyewe ni kumfukuza baba mdogo kwenye nyumba Ambayo ni ya baba yangu,baba mdogo anadai nyumba ni yake na amefoji barua za manunuzi, Mimi Nina Ofa na hati yenye kuonesha umiliki halali wa kiwanja hicho toka mwaka 1972,
Piga risasi mshenzi kwanini akusumbue miaka nenda rudi
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Chukua hela Mkuu, huko Mabaraza ya ardhi sio poa unaweza kupitisha miaka 5 bila kuona haki ni ya nani!
 
Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.


Kwakua Kukuchelewesha ,hakujaharibu nyumba yako.

MRUDISHIE Hela yake, ubaki na nyumba yako uuze .


Bila hivo ACHA JEURI NA JANJA JANJA ZA SHERIA, sote tunajua. shería zetu ni mbovu japo ni Sheria



UTABAKWA AU KUFA MAPEMA endapo utafanya unachotaka kufanya.


Usiseme hujaambiwa.
Mimi niliuza nyumba Ili ninunue nyingine nae anajua. Anafahamu anavyonilipa na Mimi NAENDA kulipa kule. Kuvheleweaha kwake kunilipa kumenifanya nikose nyumba na nimekatwa hela ya usumbufu.

Mkataba wetu ulitemgemezwa na mwanasheria wake na yeye, unasema hela ikichelewa atalipia ASILIMIA 18, , yeye hataki kumlipia ASILIMIA 18, na amepitiliza miezi minne. Tena nimekuwa mstaarabu nimemwambia alipoe ASILIMIA hizo za mwezi tu hataki anakuwa mkali. Nimegundua hicho kipengele aliweka Ili nikubali alipoe nyumba miezi sita.

KINACHONIUMA SANA alipolipa Ile awamu ya kwanza ambayo ilikuwa milioni 10 kati ya 50m alienda akawafukuza wapangaji wangu alisema yeye tayari amenunia nyumba. Kistaarabu alitakiwa angojee amalize kulipa ndo maswala ya wapangaji yafaye kwani nao Wana haki zao. Na kwenye mkataba iliandikwa kabisa Mimi nitaendelea kukusanya Kodi mpaka siku amalize kulipa ndo nyumba inakuwa Mali yake. Sasa mkuu tangu mwaka Jana mwezi wa kumi na mbili Hadi Leo huoni hasara anazonitia Tena makusudi?
 
Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.


Kwakua Kukuchelewesha ,hakujaharibu nyumba yako.

MRUDISHIE Hela yake, ubaki na nyumba yako uuze .


Bila hivo ACHA JEURI NA JANJA JANJA ZA SHERIA, sote tunajua. shería zetu ni mbovu japo ni Sheria



UTABAKWA AU KUFA MAPEMA endapo utafanya unachotaka kufanya.


Usiseme hujaambiwa.
Mimi niliuza nyumba Ili ninunue nyingine nae anajua. Anafahamu anavyonilipa na Mimi NAENDA kulipa kule. Kuvheleweaha kwake kunilipa kumenifanya nikose nyumba na nimekatwa hela ya usumbufu.

Mkataba wetu ulitemgemezwa na mwanasheria wake na yeye, unasema hela ikichelewa atalipia ASILIMIA 18, , yeye hataki kumlipia ASILIMIA 18, na amepitiliza miezi minne. Tena nimekuwa mstaarabu nimemwambia alipoe ASILIMIA hizo za mwezi tu hataki anakuwa mkali. Nimegundua hicho kipengele aliweka Ili nikubali alipoe nyumba miezi sita.

KINACHONIUMA SANA alipolipa Ile awamu ya kwanza ambayo ilikuwa milioni 10 kati ya 50m alienda akawafukuza wapangaji wangu alisema yeye tayari amenunia nyumba. Kistaarabu alitakiwa angojee amalize kulipa ndo maswala ya wapangaji yafaye kwani nao Wana haki zao. Na kwenye mkataba iliandikwa kabisa Mimi nitaendelea kukusanya Kodi mpaka siku amalize kulipa ndo nyumba inakuwa Mali yake. Sasa mkuu tangu mwaka Jana mwezi wa kumi na mbili Hadi Leo huoni hasara anazonitia Tena makusudi?
 
Tatizo linaanzia pale uliporuhusu mnunuaji kujipangia aina ya mkataba anaoutaka,hapo umekwama vibaya sana na ukisema ujitekenye kufanya kitu kuuvunja huo mkataba kesho mtakutana mahakamani na fidia umlipe wewe.

Kwanini ulikubali kitu cha hovyo kama hiki?huna washauri au huna hata mtu mnaekaa pamoja japo kwa dakika kadhaa mkashauriana siku yenu ilivyoisha au mipango yenu?
Kabla sijasaini huo mkataba nilipeleka kwa wanasheria na tukajiridhisha ndipo nikasaini. Hadi mwanasheria wake anamshangaa sana.
 
Pole sana! Ni kutokujua,. Japo wengine pia tunajifunza hapa,. Ilitakiwa hayo yote yabainishwe kwenye mkataba. Nyumba ingebaki chini Yako hata kuchukua pango Hadi atakapomaliza malipo yote,. Ilibidi iwekwe wazi na kukuruhusu wewe kuuza nyumba pale atakapo shindwa kutimiza masharti. Sasa umegeuka mtumwa wa kumsikiliza na kumnyenyekea yeye. NB: Ndugu chukua fedha fanya mengine mtasumbuana Bure na mwisho fedha itaisha yote hata kiwanja hutopata.
 
Tatizo linaanzia pale uliporuhusu mnunuaji kujipangia aina ya mkataba anaoutaka,hapo umekwama vibaya sana na ukisema ujitekenye kufanya kitu kuuvunja huo mkataba kesho mtakutana mahakamani na fidia umlipe wewe.

Kwanini ulikubali kitu cha hovyo kama hiki?huna washauri au huna hata mtu mnaekaa pamoja japo kwa dakika kadhaa mkashauriana siku yenu ilivyoisha au mipango yenu?
Na mkataba una expire date, na according to him mkataba usha expire hadi sasa!!
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Either umrudishie pesa alizokupa mmununuzi wa kwanza. Au uuze halaf utoe kidogo umlipe

Lakini hili itabidi umkalishe chini uongee nae
 
Kama mkataba kaandika mwanasheria wake chukua hela sepa hata usiangalie nyuma. Kwenye kesi utapoteza zaidi. Nina ndugu yangu kesi yake ilianza mwaka 1994 kuhusu ardhi hadi leo inaendelea.
 
Huwezi kuuza kwa mtu mwingine mkuu bila ridhaa ya pande zote mbili kwamba uuze umrudishie pesa. Unachoweza kufanya ni kumshtaki kwa kukiuka mkataba kisha aitwe kujieleza. Hata hivyo Kuwa makini na hii aina ya migogoro, kama yupo tayari kulipa ni bora ukamalizana naye muachane kila mtu aendelee na mambo yake. Tanganyika mambo ni mengi.
Jana kuna mtu alikuwa anafafanua case ambazo polisi hapaswi kuingilia hii ni mojawapo🤣
 
Haha, hii nchi Kuna ilivyo na inavyopaswa kuwa.
Oya acha tu unaambiwa zile style za flani kakudhulumu sijui au kakutapeli unakimbilia dawati la askari kwamba wamtaitishe ili alipe ni kosa kisheria. Au kumuweka ndani mtu kwa ishu hizo haikubaliki🤣!

Nilimsikiliza yule msenge kwa makini kisha nikatabasamu tu ila niliporomosha tusi kimoyo moyo ili wife asiskie na watoto.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Chukua mpunga halafu isimkabidhi waraka mpaka akupe ile asilimia ya kuchelewesha malipo kama kweli ipo kwenye mkataba. Tena mwambie akutilie kwenye bank account asijekukubananisha ya nipe nikupe.
 
Oya acha tu unaambiwa zile style za flani kakudhulumu sijui au kakutapeli unakimbilia dawati la askari kwamba wamtaitishe ili alipe ni kosa kisheria. Au kumuweka ndani mtu kwa ishu hizo haikubaliki🤣!

Nilimsikiliza yule msenge kwa makini kisha nikatabasamu tu ila niliporomosha tusi kimoyo moyo ili wife asiskie na watoto.
Jambo kama hili labda Raisi aliseme hadharani ndo wananchi watafunguka. Hata hivyo huwa wanageuza kesi utasikia inasemekana umetishia kumuua hivyo tunakuweka ndani kwa uchunguzi.
 
Jana kuna mtu alikuwa anafafanua case ambazo polisi hapaswi kuingilia hii ni mojawapo[emoji1787]
Madai sawa police hapaswi kuingilia ,ila wajanja wanakugeuzia kesi ya utapeli wa kujipatia Fedha kwa njia ya udanganyifu ,hapo kesi ya madai inageuka kua criminal case!!
 
Chukua hela hiyo mkuu alafu next time ukiuza nyumba, kiwanja ama gari usikubali kuuza kwa installment yaani hata kama atasema hela ngumu wewe mwambie akope sehemu alafu atawalipa.
 
Back
Top Bottom