Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

nilicho gundua hii nchi tunaishi kishkaji na kijamaa sana

watu wanauziana kisheria, wanakiuka na wanamalizana kishkaji kwa kile kile kinacho itwa ujamaa na uswahili

alipe iyo 18% asilete uswahili
 
Kwasabab
Aisee mkataba kaandika mwanasheria wake sio kuta utakua sana upande wake.
Mkataba unasemaje akipitiliza malipo, na akishindwa kulipa hiyo adhabu ya 18% ni hatua gani ww uchukue??

Kuuza nyumba na kumrudishia gharama lipo kwenye mkataba??

Kwanini hukumrudishia pale alipotaka ila unataka kumrudishia sasa ambapo na yeye anataka kulipa??

Itaneni chemba na wewe ukiwa na mwanasheria wako mtete kiume. Msije kuuana kindezi.
nimemwambia afate mkataba unavyosema, alipe ASILIMIA 18% kama riba kwa kuchelewesha hela. Yeye hataki na anakuwa mkali ilhali Mimi nimekosa nyumba niliyotaka kununua kwa sababu yake. Pesa sijala ipo na alichonikera zaidi alipolipa awamu ya kwanza alienda kufukuza wapangaji wangu..Kuna walioondoka na Kuna waliobali. Kistaarabu alitakiwa amalize kulipa fedha kwanza nyumba iwe Mali yake ndipo kwa utaratibu wapangaji waondoke kwani wapangaji pia Wana haki zao. Sasa huoni huyu sio mstaarabu? Huoni ni muharobifu na Hana jema??. Mimi sikatai hela yake ila ailipe na Ile 18%. Na awe mstaarabu asinigombeze
 
Kama ana dhamira ya kukumalizia pesa zako chukua tu. Gharama utakayotumia kufuatilia madai ya ziada yanaweza kuvuka hata madai yenyewe pamoja na kupotezeana muda.

Kuna watu wameumbwa kuwa watata tu na kwa sheria za kipuuzi za nchi hii unaweza jikuta unapoteza haki yako hata kama upo sahihi.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Uza umrudishie hela yake.
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Njooo ofsin ushauriwe kisheria na ulipe consultation fee
 
Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.

Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.

Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.

Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.

Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?

Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??

Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.

Naombeni maoni na ushauri
Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.


Kwakua Kukuchelewesha ,hakujaharibu nyumba yako.

MRUDISHIE Hela yake, ubaki na nyumba yako uuze .


Bila hivo ACHA JEURI NA JANJA JANJA ZA SHERIA, sote tunajua. shería zetu ni mbovu japo ni Sheria



UTABAKWA AU KUFA MAPEMA endapo utafanya unachotaka kufanya.


Usiseme hujaambiwa.
 
Kwasabab

nimemwambia afate mkataba unavyosema, alipe ASILIMIA 18% kama riba kwa kuchelewesha hela. Yeye hataki na anakuwa mkali ilhali Mimi nimekosa nyumba niliyotaka kununua kwa sababu yake. Pesa sijala ipo na alichonikera zaidi alipolipa awamu ya kwanza alienda kufukuza wapangaji wangu..Kuna walioondoka na Kuna waliobali. Kistaarabu alitakiwa amalize kulipa fedha kwanza nyumba iwe Mali yake ndipo kwa utaratibu wapangaji waondoke kwani wapangaji pia Wana haki zao. Sasa huoni huyu sio mstaarabu? Huoni ni muharobifu na Hana jema??. Mimi sikatai hela yake ila ailipe na Ile 18%. Na awe mstaarabu asinigombeze
Huyo mtu kabila gani? Tuanzie hapa.
 
Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.


Kwakua Kukuchelewesha ,hakujaharibu nyumba yako.

MRUDISHIE Hela yake, ubaki na nyumba yako uuze .


Bila hivo ACHA JEURI NA JANJA JANJA ZA SHERIA, sote tunajua. shería zetu ni mbovu japo ni Sheria



UTABAKWA AU KUFA MAPEMA endapo utafanya unachotaka kufanya.


Usiseme hujaambiwa.
Kwa kweli amrudishie tu pesa. Aendelee na mishe zingine. Watanzania si watu wa kuheshimu mikataba na sheria.
 
Tatizo linaanzia pale uliporuhusu mnunuaji kujipangia aina ya mkataba anaoutaka,hapo umekwama vibaya sana na ukisema ujitekenye kufanya kitu kuuvunja huo mkataba kesho mtakutana mahakamani na fidia umlipe wewe.

Kwanini ulikubali kitu cha hovyo kama hiki?huna washauri au huna hata mtu mnaekaa pamoja japo kwa dakika kadhaa mkashauriana siku yenu ilivyoisha au mipango yenu?
 
Chukua pesa iliyobaki Kisha uendelee na shughuli zako ,ogopa kitu kesi hata kama una uhakika wa kushinda ,lazima upigwe tarehe hadi kichwa kikukae sawa.hapo kuja kupata suruhu ukipeleka kesi kwenye mabaraza ya ardhi ni zaidi ya miaka mitatu.

endesha kesi pale panapokuwa hakuna suruhu,ila kama Kuna suruhu jaribu kufuata suruhu kwanza,

Nina kesi Baraza la ardhi wilaya ,huu ni mwaka wa nne tunajisomba Barazani,kula na kulala ni gest house,kesi yenyewe ni kumfukuza baba mdogo kwenye nyumba Ambayo ni ya baba yangu,baba mdogo anadai nyumba ni yake na amefoji barua za manunuzi, Mimi Nina Ofa na hati yenye kuonesha umiliki halali wa kiwanja hicho toka mwaka 1972,
 
Back
Top Bottom