Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje mkuu na yeye alisafiri?Umenikumbusha juz apa, nmezinguana na mpangaji wangu Hadi kanipeleka polisi
nimemwambia afate mkataba unavyosema, alipe ASILIMIA 18% kama riba kwa kuchelewesha hela. Yeye hataki na anakuwa mkali ilhali Mimi nimekosa nyumba niliyotaka kununua kwa sababu yake. Pesa sijala ipo na alichonikera zaidi alipolipa awamu ya kwanza alienda kufukuza wapangaji wangu..Kuna walioondoka na Kuna waliobali. Kistaarabu alitakiwa amalize kulipa fedha kwanza nyumba iwe Mali yake ndipo kwa utaratibu wapangaji waondoke kwani wapangaji pia Wana haki zao. Sasa huoni huyu sio mstaarabu? Huoni ni muharobifu na Hana jema??. Mimi sikatai hela yake ila ailipe na Ile 18%. Na awe mstaarabu asinigombezeAisee mkataba kaandika mwanasheria wake sio kuta utakua sana upande wake.
Mkataba unasemaje akipitiliza malipo, na akishindwa kulipa hiyo adhabu ya 18% ni hatua gani ww uchukue??
Kuuza nyumba na kumrudishia gharama lipo kwenye mkataba??
Kwanini hukumrudishia pale alipotaka ila unataka kumrudishia sasa ambapo na yeye anataka kulipa??
Itaneni chemba na wewe ukiwa na mwanasheria wako mtete kiume. Msije kuuana kindezi.
Akichelewesha hela zaidi ya Ile siku basi alipe 18% kwa Kila mwezi. Mkataba huu uliandaliwa na mwanasheria wakeVipengele vinasemaje kwenye mkataba awali
Ninazo mimi, sikumpa mpaka siku tumalizaneHati original zipo wapi?
duuu ,hizo asilimia analipa au halipiAkichelewesha hela zaidi ya Ile siku basi alipe 18% kwa Kila mwezi. Mkataba huu uliandaliwa na mwanasheria wake
Uza umrudishie hela yake.Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.
Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.
Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?
Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??
Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.
Naombeni maoni na ushauri
Njooo ofsin ushauriwe kisheria na ulipe consultation feeWakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.
Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.
Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?
Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??
Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.
Naombeni maoni na ushauri
Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.Wakuu, nilitangaza kuuza nyumba yangu na nikaletewa na dalali mteja. Mteja huyo akaomba kulipia nyumba hiyo kwa installment mara tatu. Awamu ya kwanza ilikuwa tarehe 23/12/2023. Awamu ya pili ilikuwa iwe mwezi wa tatu lakini alichelewa akanilipa mwezi wa tano. Na malipo ya mwisho alitakiwa kunilipa tarehe 25/6/2024.
Ilipofika hiyo tarehe nilisafiri kutoka mji naoishi kwenda huo mkoa nilipouza nyumba. Siku moja kabla nikampigia simu kwamba kesho tunakutana saa ngapi kwa mwanasheria wake ambae alituandikisha mkataba akasema yupo safari atanipigia jioni.
Jioni hakupiga na siku ya malipo hakutokea. Mwanasheria wake alimpigia akasema ana wageni atapiga simu lakini hakupiga. Baada ya week ikanibidi niondoke nirudi mji naoishi huko mikoani.
Mteja yule alikuja kunitafuta mwezi BAADAE na nikamweleza jinsi alivyonisababishia hasara kwani NAMI nilikuwa NAENDA kununua nyumba nyingine na nimekosa. Matokeo akawa mkali sana na hakuonyesha ushirikiano. Nikamwambia basi kwakuwa umevunja mkataba na mkataba unasema ukichelewesha fedha ulipe 18%ya ziada naomba tufate mkataba, kwani Mimi nilitumia gharama kusafiri na pia nimekosa nilichopanga kufanya na hela hiyo. Alikuwa mkali na akasema anataka nimrudishie hela yake yote na yeye HAYUPO tayari kuongezea hela yoyote Ile hata kama alivunja mkataba.
Leo hii amenipigia simu ananiambia kwamba amepata hela na anataka alipe hela bila kujali hasara na bila kufata mkataba kama unavyosema. KUMBUKA alitakiwa kulipa hela tarehe 25/6, Leo ni mwezi wa kumi. Na anasema ule mkataba kwasababu ilishapita miezi mitatu hautumiki Tena. Wakuu hii ni sawa?
Sasa wakuu naombeni ushauri nifanyeje?? Nyumba yangu sio mbaya na nilikuwa naiuza Ili ninunue nyingine Dar, nae kachelewa kunilipa hivyo sijaweza kununua... Nikiiuza kwa mtu mwingine nitakuwa nimetenda kosa??
Je huyu mteja SI anatakiwa afate mkataba kama unavyosema??
Mkataba huo ulitengenezwa na mwanasheria wake mwenyewe. Je anapaswa Kuongezea hela ama asubiri niuze niirudishe pesa yake.
Naombeni maoni na ushauri
Huyo mtu kabila gani? Tuanzie hapa.Kwasabab
nimemwambia afate mkataba unavyosema, alipe ASILIMIA 18% kama riba kwa kuchelewesha hela. Yeye hataki na anakuwa mkali ilhali Mimi nimekosa nyumba niliyotaka kununua kwa sababu yake. Pesa sijala ipo na alichonikera zaidi alipolipa awamu ya kwanza alienda kufukuza wapangaji wangu..Kuna walioondoka na Kuna waliobali. Kistaarabu alitakiwa amalize kulipa fedha kwanza nyumba iwe Mali yake ndipo kwa utaratibu wapangaji waondoke kwani wapangaji pia Wana haki zao. Sasa huoni huyu sio mstaarabu? Huoni ni muharobifu na Hana jema??. Mimi sikatai hela yake ila ailipe na Ile 18%. Na awe mstaarabu asinigombeze
Kwa kweli amrudishie tu pesa. Aendelee na mishe zingine. Watanzania si watu wa kuheshimu mikataba na sheria.Unamaanisha, umeshakula Hela ya MTU, ila kwakua kachelewa kumalizia Hela, unataka Uiuze?.
Kwakua Kukuchelewesha ,hakujaharibu nyumba yako.
MRUDISHIE Hela yake, ubaki na nyumba yako uuze .
Bila hivo ACHA JEURI NA JANJA JANJA ZA SHERIA, sote tunajua. shería zetu ni mbovu japo ni Sheria
UTABAKWA AU KUFA MAPEMA endapo utafanya unachotaka kufanya.
Usiseme hujaambiwa.
Wa kutafuta upyaMteja mwingine unae? Au ni wa kutafuta upya?