House girls pia wanao nduguElfu 30! Huyu ametoka kwenye nyumba ya watu kama hausigali. Atalala wapi🤔? Hiyo biashara atafanya akiwa anatokea wapi? Hayo matunda atayalaza wapi ili atakapoamka aanze Tena safari ya kutembea. Sawa. Sasa Agnes,,,Daah!
Chagua na timu zako chache za kutembea nazo, timu ambazo zina consistency ya matokeo usizibadili tembea nazo mwanzo mwisho, hizo timu zako kila weekend huwezi kosa odds 2 stake, na stake iwe constant ukila mara2 ukapoteza moja bado unafaida mfano odds 2 kwa laki ukila Mara mbili ni nne ukipoteza Mara moja bado unabakiwa na laki tatu, kubadilibadili timu na kupoint kila ligi duniani lazima upoteze, mm ligi zangu ni saba tu, ujerumani, Czech,Netherlands, england, laliga tanzania na brazil kote huku Nina timu zisizozidi mbili, Brazil ni corners tu. Na option yangu mkubwa ni magoli mawili tu kwa individual wakiwa nyumbani au wote akiwa away.Nlifikishaga 11m nikaongezea hela kidogo nkauza gari yangu nikanunua gari ya fuel consumpion ndogo ili nipunguze ukali wa maisha saivi nna kama 1.5m kama kepitol nataka niende nayo mdogo mdogo sitaki tamaa.
Okay sawa sawa masta nimekusoma ivi wikend wanarud ulingoni si ndio ?Chagua na timu zako chache za kutembea nazo, timu ambazo zina consistency ya matokeo usizibadili tembea nazo mwanzo mwisho, hizo timu zako kila weekend huwezi kosa odds 2 stake, na stake iwe constant ukila mara2 ukapoteza moja bado unafaida mfano odds 2 kwa laki ukila Mara mbili ni nne ukipoteza Mara moja bado unabakiwa na laki tatu, kubadilibadili timu na kupoint kila ligi duniani lazima upoteze, mm ligi zangu ni saba tu, ujerumani, Czech,Netherlands, england, laliga tanzania na brazil kote huku Nina timu zisizozidi mbili, Brazil ni corners tu. Na option yangu mkubwa ni magoli mawili tu kwa individual wakiwa nyumbani au wote akiwa away.
Zinarudi baada ya international breakOkay sawa sawa masta nimekusoma ivi wikend wanarud ulingoni si ndio ?
Fanya biashara ya kuuza matunda chukua dishi lako nenda kwenye masoko ya jumla nunua matunda pita barabarani ukiuzaHello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi
Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae
Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani
Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready
I'm waiting...
Hivi mnavyowapigaga madanga sijui "laki for one night" unaweza kuona kwa jinsi gani hilo danga ulivyoliumiza kama unaona 30,000 ni hela ya mtajiNaogopa kuua mtaji kaka
Sasa mbona mnafanana.Hiyo inatosha nauli ya kuja hapa nilipo ili tuyajenge! Njoo pm mwaya tena kwa vile nimeona unajua na lugha ya queen "ku run his/her own life" wewe huko juu!
We dm nenda kama siyo jambo jema si unakataaMh Mh, uko siji, niambilie hapa hapa
Na nikisema labda hizo plates nikazisambaze stand ama posta, nitapata wateja kweli!!!? Maake niliwahi kufanya hii biashara mwaka jana, lakini ndani ya siku tatu tu nilikata tamaa kutokana na wateja kuwa wachacheAnzisha biashara ya kukatakata matunda mchanganyiko na kuuza sahani mia 5 hadi elfu 1 inategemea na ulipo, utanishukuru.
Kwanini kakaNgumu sana hii mzee sio rahisi kiivo
Oyaaa ya maswal siijui, ingekua ya Arusha tungefanya jambo untumie cyo ya biashara lknWazo zuri
Angekuwa maeneo ya Maswa ningemuuzia debe kwa moja kwa 40k
Pure,dry weed
Faida yake ni more than 100%
Sema Dar mbali