Mara ya mwisho nilitongoza live 2015. Nikaapa sitarudia tena niliaibika sanaKwa jinsi unavyoelezea hizo aibu ulizonazo utafika kweli level ya kuitwa baba? Kama Una mpango wa kuwa na familia baadae anza kuchukua hatua ya kuukabili uoga wako na jifunze njia za kuearn confidence before people. Isijefikia kipindi hata unayedhania ndio ubavu wa future yako ukashindwa kumface achilia mbali utakapokuwa nae faragha nae😃😃
Mjunjo unafanyaje kuiomba sasa km una aibuIn term of money I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wanangu
In term of money I'm comfortable sir. Ila yaani aibu zipo tu, duuh yaani sijui nitakua baba wa namna gani mbele ya wanangu
Inasaidia kuongeza confidence panga tu ratiba zako vizuri mkuuDaah kjwasasa karate sitaweza muda sina bado niko ki bize kuzisaka. Labda mbelwni huko nikitaka kupunguza kitambi
Kwa maelezo haya, basi una tatizo kubwa. Lifanyie kazi haraka kablq halijaathiri mpangilo wako wa maisha.Pole sana.
Wakati nasoma soma nilikua Representative na mwenzangu wa kike. Kwenye vikao tulikua tunalipwa 5K lakini hadi natoka kwenye uongozi sikuwahi kuhudhuria hata kikao kimoja huyu dada ndo ilibidi awe ananiwakilisha.
But the worst ni kwamba nashindwa kudai watu madeni. Kuna watu kibao nawadai hela ila sijui nawaanzaje kuwadai daaaah. Yaani nabaki nasononeka rohoni. Naokopa ninao wadai badala wao ndo waniogope
Mimi jobless pro max, mafao yangu labda movie na kula tu🤣Ya uzeen😃😃😃
Huyu akivuta akasema bangi nibangue😂😂😂tushamkosa tayariiiiiBangi ina mtu na mtu, asije akaranduka bule tukamkosa mbobevu wetu Jf😆😆
Huyo ndo analeta soo mbele za watu broAcheni kumsema vibaya my wangu
Unataka wamuwambe mabanz mkuu?Kaza changamka masta au siku moja jitoe ufahamu katiza jeshini wakuchangamshe kidogo 😂
Hii 👆 ni Bia ya wapi, mbona watu tusingukuwa tunaenda makaziniNo. Nikinywa hata bia moja kichwa kinauma sana miguu inaisha nguvu. Siku nzima naumwa
Acha kutaja mmea kwenye utoto wenu..!!watakushauri uvute bange , nakushauri usiwasikilize haiondoi aibu inaondoa common sense