Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

Acha nyeto, acha kutazama picha za utupu, usipalamie mwanamke kwa sasa jipe muda angalau miezi sita. Baada ya miezi sita baki na huyo demu mmoja uendelee kupata uzoefu na kujiamini
 
Wakati unapiga puli machine ilikuwa vzr au ulikuwa unailazimisha?
Test kunywa viagra uone...ikiwaka piga zoez na kula vzr tu
 
🤣🤣🤣 umenikumbusha kuna mwanangu aliwahi niambia akiwa na madeni mengi bao halitoki
Wengi wanakosa ubora kutokana na matokeo ya msongo wa mawazo uliowakuta yani huu mwezi wa sita unakuwa na msongo wa nawazo balaa ila show unapiga vizuri tu ila baada ya miezi sita mbele unashangaa performance inashuka unaanza kuwaza sababu nini
 
Dogo pole, Ukiangalia Picha za porno uume hausimami kabisa?
 

Hivi aliye waambia nyeto inapunguza nguvu za kiume ni nani? Swala la nguvu za kiume mbali na tatizo la asili ni swala la kisaikolojia ,mazoezi na lishe tuu. Ukimudu ku control hivyo vitu vitatu kama huna tatizo kwa asili yako basi huto kuwa na tatizo
 
Hivi aliye waambia nyeto inapunguza nguvu za kiume ni nani? Swala la nguvu za kiume mbali na tatizo la asili ni swala la kisaikolojia ,mazoezi na lishe tuu. Ukimudu ku control hivyo vitu vitatu kama huna tatizo kwa asili yako basi huto kuwa na tatizo
Yani nyeto inasingiziwa sana siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…