Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

Inawezekana maana wala hakuna ugomvi wala tatizo lingine alivyoona anapoishi binti na kujua kipato chake akakimbia!

Labda amewahi kuonywa na watu wazima juu ya wanawake wenye fweza au amewahi shuhudia kidume akiwa humiliated kisa mali...ila binafsi nina mifano halisi mingi nyie bamtu yani mkipata gape hasira unazimalizia kwa mmeo nakwambia
 
Inawezekana maana wala hakuna ugomvi wala tatizo lingine alivyoona anapoishi binti na kujua kipato chake akakimbia!

C isije ikawa alikuwa anatafuta sababu tu ... au kitu cha msingi alipopata hakuona thamani tena ya kuwa nae au hakutimiza lengo ... hahah
 
kukimbia demu sababu anazo huyo jamaa atakua mtoto wa watu,mwanaume unakoleza gemu mpaka unapewa mamlaka ya uprezidaa wa nyumba until futher notice
Haa haa haa,
Dah mkuu hii yako nimeipenda sn,najua mwanaume ukijiamin utatafuta tu pa kumkoleza binti na unamilikishwa kila kitu kiulain!
 
Mkuu you nailed it.
 
lack of confidence! Hela si zinatafutwa tu. Kwanini unamkimbia unayempenda sababu ya hela unless huna kichwa, mikono wala miguu ntaelewa. Vinginevyo ni kuchakarika tu
Wala hujakosea mkuu,
Wengi wanaokimbia wanakuwa hawajiamini ndio maana!
 
Canta kwani wewe ndiyo huyo dada?? Adhawaizi umeyajuaje hayo??
 
Wala hujakosea mkuu,
Wengi wanaokimbia wanakuwa hawajiamini ndio maana!

simtetei kabisa nasema nachoamini lakini ningekuwa mimi nisingemkimbia mpaka ingeanza ile ya "unapigwa jicho kichwani mpaka mguun alafu unasonywa" hapo mwanakwetu nasepa kidogo kidogo
 
lack of confidence! Hela si zinatafutwa tu. Kwanini unamkimbia unayempenda sababu ya hela unless huna kichwa, mikono wala miguu ntaelewa. Vinginevyo ni kuchakarika tu
Wewe na huyu jamaa aliyesepa mnafanana tu tofauti ni kuwa wewe unaamini at some point utakuja kuwa na hela kama binti au kumzidi. Kwa hiyo in principle bado unaamini demu hatakiwi kukuzidi mkwanja.
 
C isije ikawa alikuwa anatafuta sababu tu ... au kitu cha msingi alipopata hakuona thamani tena ya kuwa nae au hakutimiza lengo ... hahah
Hata sijui labda,ila ingekuwa ishu ni kumpata huyo binti mboa alishaanza kula ni miezi sasa mbona km palikuwa pabaya aliendelea mpaka alipojua kipato cha mtoto wa watu!
 
Labda amewahi kuonywa na watu wazima juu ya wanawake wenye fweza au amewahi shuhudia kidume akiwa humiliated kisa mali...ila binafsi nina mifano halisi mingi nyie bamtu yani mkipata gape hasira unazimalizia kwa mmeo nakwambia
Labda ndio malezi aliyopewa,ila km angekuwa ameonyeshwa nyodo hata kabla ya kujua uwezo wa binti na akavumilia basi baada ya kujua na akaamua kukimbia hata mie nisingelaum!
Ila kwa hili mie nahisi tu ni kushindwa kujiamini!
 
Hata sijui labda,ila ingekuwa ishu ni kumpata huyo binti mboa alishaanza kula ni miezi sasa mbona km palikuwa pabaya aliendelea mpaka alipojua kipato cha mtoto wa watu!

hahaha haya ila itabidi ukamilishe kwa kumpata jamaa tupate upande wa pili , maan asije kuwa kaipiga buti bahati hahahaah unaweza kujikuta unakuwa mtu wa kati
 
hahaha haya ila itabidi ukamilishe kwa kumpata jamaa tupate upande wa pili , maan asije kuwa kaipiga buti bahati hahahaah unaweza kujikuta unakuwa mtu wa kati
Nitajitahidi,kwavile shost bado hajakata tamaa na amesema atatumia namna yoyote kumshawishi jamaa waendelee coz anampenda sn,najua nitaendelea kupata story zinavyoenda na mungu akijali wakarudiana jamaa ataniambia tu km kulikuwa na tatizo lingine.
 
Hata sijui labda,ila ingekuwa ishu ni kumpata huyo binti mboa alishaanza kula ni miezi sasa mbona km palikuwa pabaya aliendelea mpaka alipojua kipato cha mtoto wa watu!
Sasa Canta wewe mwenyewe mtazamo kuhusu mapenzi/ngono ndio huo hapo (wa mwanaume kuwa anafaidi) halafu unashangaa jamaa kuchapa mwendo............Trust me bado tuna safari ndefu ya kurekebisha mfumo wa watu kufikiri.
 

Unakuwa na vijana wawili binti na mwanaume hao wote unawapa malezi tofauti matokeo yake ndo hayo
 
Dunia ina mambo kwelikweli na tukiyazoea yanakuja mengine mapya kabisaa
 
Nitajitahidi,kwavile shost bado hajakata tamaa na amesema atatumia namna yoyote kumshawishi jamaa waendelee coz anampenda sn,najua nitaendelea kupata story zinavyoenda na mungu akijali wakarudiana jamaa ataniambia tu km kulikuwa na tatizo lingine.

haya kwa hiyo tukae mkao wa kuendelea kusubiri ...

wewe kama wewe ulimshauri vipi suala lake??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…