Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa unakuja tatizo ni ule utambulisho
Sasa utatambulisha wangapi dunia yenyewe hii ya kudanganyana tuu
 
Hapo songa mbele na maisha yako . Kuhusu ghalama ulizotumia isikupe shida mapenzi ni ghalama. Kuna hasara nyingi umepata kwenye maisha na ulijipa moyo maisha yakaendelea. Litakushindaje hili?

Kwa kuwa wakati mko wote ulifurahia penzi lenu to the fullest na mpaka ukafeel kumpa chochote basi hujapoteza kitu.
 
Ahaaaaa usiwaze sana mkuu futa namba yake na picha zake kwenye simu tafuta mwanamke mwingine wa kukupa kampani,binadamu tumeumbwa kusahau,hakuna mtu hajawahi kuachwa
Ndilo napambana nalo , najua ntasahau lakini amejua kuniumiza huyu mwanamke Lol, yaani Kama Ni mechi nimepigwa hat trick first half
 
Mku mwanamke hawezi kumiliki wanaume wawili mkafahamiana. Achana na huo mzigo utakutoa roho.
Ndio maana nkasema acha nipate ushauri kwa watu wenye akili zao humu maana hiki nlichofanyiwa ni armery robbery ya mchana
 
Sawa mkuu , japo itachukua muda maumivu kuisha lakini acha nipambane na hii Hali maana niliyataka mwenyewe!!
 
Mlikutana barabarani, achaneni barabarani kwisha!
 
Mtoa mada unatatizo mengi, ntaorodhesha Hapa KISHA ntakushauri

1.Unakutana na mwanamke humjui vizur in&out unajitosa mazima moyo wako wote kumpenda sana.
Ni kosa kubwa Sana.

2. Unasahau kwamba mwanamke akiwa na stress Anahitaji faraja, faraja anaweza kupata kwa mtu yeyote Alie around. Bahat nzur ulikuepo wewe.
Ila hilo haiondoi mapenz kwa wake anayempenda kwa dhati, ata Kama kamzingua sana. Anavumilia hivo hivo anaumia.

3. Kwenda kufanya mapenz kwny nyumba ya mwanamke Ni kosa kubwa Sana, ujatwambia kwann ulkua umpeleki kwako au hotel.
Nilikutahadharisha utakuja charangwa mapanga, na kweli jamaa akaja kukufanyia fujo.
(probably yeye Ndo sponsa wa hapo, stori ya Kila kitu chake Ulidanganywa)
Ndo Maana mwanamke akogopa kuachana nae Moja kwa moja, jamaa ni mshari Sana.

4. Jifunze kutofautisha huruma na upendo, uyo mwanamke alitulia kwako akiangalia Kama seriously jamaa atamove on, wewe uchukue nafas.
Bahat mbaya jamaa karudisha majeshi, huna chako Tena.

Cha kukushauri,
1.Kama kweli unampenda,
[emoji117]Vumilia mpk siku wavurugane ndo Wewe uchukue nafasi.
[emoji117]Wafanyie figisu wavurugane, mwanamke sana amchukie jamaa ww uchukue nafas.

2.Kama kwake umefata sex au uchumi
[emoji117]Kausha Kama hamna kilichotokea, weka ratiba zako vizur za kupewa Shea yako kisha ulale mbele.

YOTE NI MACHAGUO SAHII, CHOOSE WISELY[emoji4]
 
pole kwa yaliyokukuta

ila wanaume acheni kwenda kulala kwenye nyumba ambazo hamjui tofali zake zimetokea wapi

mtauwawa bure
 
Na mkiambiwa hajanifanyia kitu yote ni jasho langu ujue hapo anamaanisha hata kama alipewa chochote, imetokana na jasho la wakati wa kufirimbwa papuchi.

Ndo jasho lenyewe hilo wala sio la kushika jembe ukalima.
 
We kichaaa unapenda mbeba magendo?????serious????

Kuna tabia za kijinsia ukiona mwenye jinsia yake hana ujue unatatizo.

Mfano mwanaume hapendi kufanya kaziwaka biashara hapo moja kwa moja hiyo sio tabia ya kiume

Mwanamke anauza bangi too ambition hiyo sio tabia ya kike.
 
Ndugu yangu unajua nimeenda pale miezi 2 silali Ila nashinda pale naondoka jioni na nimekaa nae miezi 11 sikuwahi kuona mwanaume pale aje kugonga au apige simu yake
hujatujua vizuri.

Ukiwa jela bwana kuna kandege tulishagundua tukikabonyeza basi hapigi jini wala iblis ikaingia.

hukuona ka ndege kwenye simu?

Ndo uchawi wenyewe huo.
 
Usinunue magonjwa kwa bei rahisi, mshukuru Mungu una afya njema na Mwanamke amekueleza ukweli tofauti na hapo unaingia kweny shida achana naye kuna wanawake wazuri wengi sana hapa duniani
 
Mbio zako ndio zitazo kuokoa.Achana na wake zawa tu miaka10 unadanganywa wameachana??? Tafuta mwanamke uoemabinti wako lundo.
Mbona komenti yako imemaliza kila kitu bulaza, uyu alikuwa kaoa mke wa mtu hivi miaka 10 wanapika wanapakua kwel na ww unasema umepata mpenzi hatar sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…