Bro Vipi Mbona unalia?kuaxhwa nimekubali mbali na huo msaad nliompa pia Kuna vingi tu nimemfanyia kwa huo muda mfupi nilikutana nae,! Kibaya aliniaminisha Hadi nkamtambulisha kwa wazazi na yeye akanitambulisha kwao kumbe alikua na lake moyoni!! Sijamkosea kitu na imekua gafla
amekuchezea akakuacha, pole sana mkuuMkuu Ni story. Ndefu nimeacha mengine nkajua ntayakuta kwenye maswli na ufafanuzi!! Mm kuaxhwa nimekubali mbali na huo msaad nliompa pia Kuna vingi tu nimemfanyia kwa huo muda mfupi nilikutana nae,! Kibaya aliniaminisha Hadi nkamtambulisha kwa wazazi na yeye akanitambulisha kwao kumbe alikua na lake moyoni!! Sijamkosea kitu na imekua gafla sana
Afu mm sio kijana huwezi amini nimebakiza miaka 3 kugonga 50 nshapitia challenge nyingi za kimahusinao lakini hakuna iliyoniumiza Kama hii!! Nakushangaa sanaUnaenda kulala kwa Mwanamke???
Enyi Vijana,, Wahuni tuseme mara ngapi kuwa ni tabia ya hovyo sana mwanaume kwenda kulala kwa Mwanamke.?
Hata mimi nakushangaa sana mkuuAfu mm sio kijana huwezi amini nimebakiza miaka 3 kugonga 50 nshapitia challenge nyingi za kimahusinao lakini hakuna iliyoniumiza Kama hii!! Nakushangaa sana
basi walipanga kukuchunaUshauri wako , mzuri Ila la kwanza nzuri zaidi, kuhusu kwenda kwake na sio kwangu Ni kwamba kwangu nlimwbiaa twende (ameshafika Mara kibao)tatizo likaja Hanna mtu wa kumwachia amuamgalizie nyumba huyu mama Ana kija mmoja aliyezaa ktk ujana wake na hakuzaa Tena, kijana Ni mkubbwa Yuko chuo , akasema hawezi kutoka kwake Mana kijana wake akifunga chuo atakua anaenda wapi? Au anakaa na nani hapo nyumbani ! Maana kwangu pia Nina watoto wakubwa ikaonekana Basi tupige kambi hapo kwake! Nina uhakika [emoji817] hapo kwake jamaa hakushiriki mchango wowote maana jamaa aliposikia bidada Ana mtu mwingine alikua anapiga simu na kutuma sms kumbembeleza asamehewe vitu vyote nlikua navishuhudia maana alikua ananipa simu Kama X akituma msg , demu akawa anamwambia tuna miaka 2 hatuko pamoja hajawahi kujua nakula Nini umeona nimepata mtu unaanza kuomba msamaha mbona miaka yote hukuwahi kuuomba!! Demu anamuuliza jamaa au Kuna KITU chako chochote hapa kwangu nikurushie?? Jamaa anajibu hakuna
Me Watu8 ninamheshimu sana...najua ananitakia mema ila nimuaminishe tu wewe ni binamu yangu wa kweliii
Usiwe na shida maana ulisema K ni yako na unaikosha na kuipaka mafuta wewe! Ila kumbuka mahondaw alipoanzana na Smart911 naye nilitoa angalizo lakini wakanitukana ingawa hawakuwa wanoko kama Nakadori alivyo ninyea! Ona sasa maskini jamaa hata comments zake ni ….. watakuja kukupa ushauri…. Wakati kabla hajaanzana na mahondaw alikuwa akitema Madini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]so me mnoko kweliii?Usiwe na shida maana ulisema K ni yako na unaikosha na kuipaka mafuta wewe! Ila kumbuka mahondaw alipoanzana na Smart911 naye nilitoa angalizo lakini wakanitukana ingawa hawakuwa wanoko kama Nakadori alivyo ninyea! Ona sasa maskini jamaa hata comments zake ni ….. watakuja kukupa ushauri…. Wakati kabla hajaanzana na mahondaw alikuwa akitema Madini
Ushauri kuntu tatizo Sasa hivi ananiogopa maana nlimtia kerubu mbili tatu usiku ule na nkampigia mkwara wa kufa mtu, taarifa nilizonazo ameripoti polisi si kwa nia ya kunikamata au kunishtaki hapana anataka niogope sababu Ana RB yangu!! Yaani haya mambo Ni shida kwangu Ila ushauri wako hata mm ndio hua zangu kwa muda huu acha nikifanye fala kwanza ili nimesahau na kumtoa moyoniUlichozingua ni kwenda kwake kama kwako vile yaani ni as if wewe ni manzi unamfata mchizi wako. Ila sio kesi ndo ishatokea huu nnaokupa ni ushauri wa kimafia na uwe na roho ya paka.
Fanya hivi, we kwa sasa kausha usimfatilie hata kidogo(japo ni ngumu). Yani kama sasa hivi ndo umemtafuta basi ndo iwe mwishoo kabisa ila tu uwe hujamtukana na kumlaumu saana, kama bado mnatunana basi we cool down jifanye boya ili myamalize kwa amani kabisa bila marumbano.
Nachomaanisha muwe na kaurafiki flani hivi halafu mkaushie usimtafute wala nn, yeye atajifanya nunda hatokuchek na ww usijaribu kumcheki kabisa.
Ukiona maumivu yameisha kabisa na umepata manzi mwingine na yule huna shida nae kabisa ndo uanze kumchombeza sasa, chombeza uwezavyo kama ww ni mjanja hawezi chomoa, unamjaza unamjaza unamjaza afu utamtema ww sasa itakua 50/50 hapo.
Hii ni kwa wale wapenda visasi ila kama unaona unaweza kuish tu/ huamini katika visasi lia kivyako yaishe tu na upotezee kabisa.
Uyu Anatuhisia tu vibaya cousin[emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so me mnoko kweliii?
Huyo binam tu jaman me wangu yupo
Hio number 4 ndio mhimu1.shida iko kwako...mambo ya mjini na wanawake wa mjini huyajui.....huyo mwanamke ni wa mjini....anawachekecha....
2.ww kwenye mapenzi bado....ila kwasababu unampenda huna pa kwenda....komaa nae
3mpe hela huyo mwanamke x wake anampa hela ndio maana ww huelewi
4.ukikutana nae next time hakikisha unamla rojo.....
Luv u sanaJinga sana wewe🤣😂😂!!
Umerogwa si bure!Luv u sana