Msaada unahitajika nimechoka kudanga

Kuna mtu humu alisema tusiwaonee huruma wadada..sasa itakuwaje???
 
Tatizo anaulizwa maswali muhimu badala ajibu hapa anajibu inbox, mahali alipo ilikua ni muhimu kuweka wazi na aina ya kazi ambayo anaiweza ili apate msaada wa haraka badala ya kujibu inbox.
 
Hapana sipo huko
 
Baada ya yeye kufa au sio [emoji2]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kweri kabisa yani ila ID ikija mpya inakuwa inatilia mashaka
 
Kuna katabia fulan ka kipimbi sana, hivi hii tabia ya kwenda kuangalia mtu kajiunga lini inakusaidia nn? Huu ni upimbi kabisa kama hauwez msaidia mtu kaa kimya sio kuchonga chonga kama kima ,, kumsaidia mtu mpama awe amejiunga gn?
 
Hivi @mwifa yuko wapi
 
Inaumiza sana.
Kuna wakati wanawake ni wa kuhurumiwa mno.
Imejini huyu anadanga alee mtoto na unakuta toto ni la kiume, likikua linamsahau manake na lenyewe linaanza kuhangaika na wanawake wenhine....maisha haya daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…