Nazi Ignition
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,740
- 4,859
nyie si binadamu, chukueni sumu ya panya mnywe muone itachwafanyaNjoo sasa mkuu ukae siti ya abiria pembeni yangu alafu tutoke nduki 140kph tukagonge Caravat tuone kama Airbags za pande zote zinafanya kazi sawia
Inategemea na impact. Ila ukifunga mkanda uko salama zaidi kuliko wa mbele. Tatizo watu wakikaa nyuma hawafungi mikanda.Nataka kuuliza , je siti ya nyuma au katikati kwenye gari kama v8 inaweza kuwa safe seat wakati wa crash kama head to head colition? Nimewaza labda yule ras wa kilimanjaro alepata ajali na suka wake angekaa siti ya nyuma pale labda chance of survival ingekuwepo.
Yeah hiyo chuma imetake the beating like a champ! Walikuja wakazingua kelele zikawa nyingi, chuma zinaflip kirahisiDuh kumbe video ipo. Hio range rover imejitahidi haikuanguka ime slide tu. Hio sio bahati nzuri tu.
Cc ISO M.CodD
European standard ni japanese premium optionYangu nafikiri ni low end kabisa. Lakini European car low end kabisa mfano VW Golf,Polo ina airbag zaidi ya 10.
Yeah hiyo chuma imetake the beating like a champ! Walikuja wakazingua kelele zikawa nyingi, chuma zinaflip kirahisi
View: https://www.tiktok.com/@lifestyle_car_dealer/video/7296074411529080097
UsinipangieHelmet not element
Kataa lakini kuna siku utaaibika,kubali kujifunza,hata mimi jf imenifunza mambo mengi sana kupitia kukosolewa na wadau na huwa nawashukuru sana,sasa Helmet kuiita element wewe unaona ni sawa?Usinipangie
Kumbe faza upo serious....Kataa lakini kuna siku utaaibika,kubali kujifunza,hata mimi jf imenifunza mambo mengi sana kupitia kukosolewa na wadau na huwa nawashukuru sana,sasa Helmet kuiita element wewe unaona ni sawa?
Mimi ni moja wa watu waliookoka kwenye ajali kwa Msaada wa airbag....Wakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?
Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.
RRONDO
HahahahhaaSasa mtu una akili timamu unanunua gari la 4.5m halafu unataka ikigongana upone? Yaani zipo gari hapa bongo ikigongana na POPO au KUNGURU jike mwenye upwiru anaetafuta dume nakuhakikishia kupona kwako labda ajali itokee karibu na geti la Mloganzila.
Mechanism ya airbag unaweza ichwki hata YouTubeMkuu tupe info kidogo, ulikua una drive chuma gani na ajali ilitokeaje?
sema huna uzoefu lakini usibeze hii kituWakuu, naomba kuuliza ni lini hapa Tanzania mmeshuhudia Ajali ya gari either ya kugongana uso kwa uso or Gari kugonga sehemu kama Mti au daraja na Dereva na abiria wakaokolewa na hizi Airbags kwenye magari yetu?
Binafsi naona hizi Airbags hazina msaada wowote kwa magari yetu haya Second hand maana nimeshuhudia ajali nyingi za Mgongano zimeua watu mara nyingi bila hata kuonekana kama kuna Airbags zilifunguka.
RRONDO
Sawa lakini sahau airbagππ Mkuu IST ndo mkombozi wetu mjini