Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

itoshe kusema kwa kipande hichi kwangu ingekua ni talaka tosha
 
Kwanza wewe ni mshamba hata kwa huu mwandiko wako, mke wako na umezaa naye unathamini Malaya kuliko mke aisee Sasa nakubali vijana wa Sasa wengi mmezaliwa MNA mwili na roho lakini nafsi hamna ndio maana wengi hamna uwezo wa kufikiri.

Hili wala si la kuomba ushauri, tatizo huna nafsi.[/QUOTE]

Nakazia
 
Wakati wenzako wanatumia nguvu za ujana wao kuwekeza mali na kununia mashamba wewe uko bize na mbunye za watu. Harafu ukizeeka uanze kuilaum serikali.

Wewe dogo kweli una akili?

Inaonekana wewe ni mazaramo, mndengereko au kabila lolote la asili ya pwani.

Yaani mwanmke anakufanya umekuwa mtumwa? Harafu dogo hujawahi kuwa na wanawake wazuri huyo anakuzuzua sana.

Unapata kazi hata mwaka bado ushahamishia michepuko? Dogo nakuonea huruma sana.
 
Akisha kupa ukimwi ndio utapata akili
 
Oya sikia hakuna anaekupenda hapo, shtuka shtuka shtuka nimekwambia mara 3, utaikumbuka hii comment siku moja, hapo unapigwa changa la macho tu 25 yrs umri wa Khumbu huo muulize konda msafi atakupa maelezo, soon unaenda kuwehuka km ukimuendekeza una mke una watoto wawili mfk sasa unakuaje zezeta kizembe au umelishwa nyama ya kule chini na huyo malaya wa Dar?

Piga chini Jenga maisha na mkeo ulieoa kuhusu mtoto, toa matunzo subiri atimize miaka 7 nenda kamchukue au km unaona miaka 7 mbali tunga kesi ya kuonyesha mama wa mtoto ana uchizi wa afya ya akili uombe upewe mtoto utapewa uishi nae before hajafika miaka 7, kuna kingine?

Nyinyi ndio huo mnakufaga kibwege before 50
 

Wew ndio unaruhusu moyo wako utake kuchomoka kama angekua ni wako bas ungekua umeshamuoa huyo lakin mpaka unamke wako bas huyo sio wako uliyepewa na mungu ila unataka kufos sasa na huko kulazimisha ndio unaangukia katika hayo maumivu .
Ila kumbuka kua mtaka vyote hukosa vyotee.Mpende mkeo wekeza kwa mkeoo na kua na msimamo .Utayaweza yote endapo utamuaa kumuchilia huyo mzazi mwenzio atoke kweny maisha yako na mbaki kumlea mtoto tuu.Ila ukiendelea kumng’ang’ania kitakukuta kitu utajijutia maisha yako yote
 
Unampotezea muda dada wa watu. Hata mie ningekufanyia visa. 1. Umeshaoa, 2. Huezi kuoa tena..unataka yeye akose chances za kuolewa wakati huezi kumuoa? Kama unampenda hivyo usemavyo, utamwacha awe huru kutafuta wake wa maisha.
 
Tatizo huyu anapenda sana kujizima data na kujipa hati miliki ya maisha yangu kwa 100%

Jitu naliambia nililala,
Linakataa afu linasema kwann ulale mchana utakua unadanganya Wewe.

Tafsiri yake
Anataka nilale MDA anaotaka yeye.
Na nihofie nikilala hajapenda Simu ikiita analalamika.

Upuuz wa wapi huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa amekua nice guy mwanamke kamgeuza zoba wake.

Anafanya kumanipulate TU akili yake anavojiskia ndo chanzo Cha makashehe hayo ya kila Mara.

Lengo lake jamaa awe na stress MuDA wote amuwazie yeye.

Hapo ndo mwanamke anafurahi na kujiskia kweli anapendwa jamaa anavoteseka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo mchepuko yupo free sana wacha akutese yaan kwa mwezi mnaonana siku 2 tena analala kwa usiku mmoja! Ndio maana anapata muda wa kufanya yote hayo maana nyege zinamuendesha chakufanya muweke ndani huko ulipo japo wiki utajua km yuko na wewe au mdangaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…