Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Kwa hayo maneno yake, nisingewaza mara mbili ningemtimua kabla hata sijaenda huko ulaya ili niende nikiwa na aman ya moyo.
 
Kwa hakika kwangu mimi familia comes first kuliko kitu chochote kile kwa sababu ni msingi wa kila kitu kuanzia jamii na hata Taifa......

Ushauri wangu:
1. Amwombe Mchumba wake wajadiliane kwa wazi ili kila moja atoe dugudugu zake na ajibiwe honestly na mwenza wake huenda mwafaka ukapatikana.

2. Asikilize moyo wake na hisia zake zinasemaje bila kuwa biasness au emotions....

3. Sacrifice: kila jambo linahitaji kufanya sacrifice hivyo apime gharama ya ndoa kwa kuacha fursa ya elimu na gharama ya elimu kwa kuiacha fursa ya ndoa.... afanye maamuzi kwa kuangalia ipi ina gharama kubwa sana....

4. Kama mwenza wake ana 30+ na ana hofu umri umeaogea na amejitoa sana kwa ajili yake, wakati mwingine ni busara kujali hisia za mwenzako kwa kuacha yale unayoyatamani.... unatoa sadaka kwa lugha nyingine to make your spouse happy...

5. La mwisho kwa mpangilio na la kwanza kwa umuhimu sana... AFUNGE NA KUOMBA, AAMKE USIKU NA KUMLILIA MOLA MLEZI AMFUNGULIE LILILO NA KHERI NA YEYE NA AMWONGOZE KUFANYA LILILO LA SAWA..... KUTAKAKOWAKA TAA YA KIJANI BASI AFUATE MLANGO HUO.....

XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Hivi unakaa na mwanamke mnajadiri nn.....? Binafsi nikisha panga langu utake usitake litafanyika. Nikipanga mipango yangu wewe kazi yako kuichambua ukiona inakufaa Baki ukiona haikufai chapa lapa .

Haya Mambo ya kujadiriana na wanawake ndio yanayoleta mabishano na magomvi yasiyo na maana ndani ya nyumba
 
Sijataka hata kusoma comment au uzi wote, mwanamke yoyote anaeweka masharti hayo yote hana plan na huyo mwamba. Mwambie chalii akabukue tu. Kama ndoa ipo ipo tu, kama haipo hata akibaki bado itamtokea puani
 
Miaka mi3 kwa kuitamka sio mingi[emoji23] ila kuiishi sasa ndo kipengelee kilipo

Mimi ningekua mchumba wa john kiukweli ningemruhusu kwenda kusoma jamani dunia yetu ya sasa hivi hii bila elimu mtu huendi popote[emoji119][emoji119] wanaofaidi mema ya hii nchii ni wasomi tuache masihara.

Yaani huyo dada sio supportive kwa mwenza wake ajaribu kumwelewa kwamba hiyo nafasi john kapata ni kama dodo chini ya mnazi amruhusu tyu aende mana ni kwa maslai yake na familia pia na pia hiyo itawapa hata kizazi chao mfano bora na imara kuwa na mzazi aliesoma na kutimiza malengo[emoji4] em huyo dada ajaribu kumwelewa mwenzie na kumsuport kwenye ndoto zake
 
Only in Africa yaani kusoma na kuoa uchague kuoa kisa demu anakasirika ngoja siku aje kupigwa na kitu kizito ndio anawajua vizuri wanawake.
 
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.

Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""

Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.

Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.

Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!

John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.

John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.

Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
John aende kusoma, kama mke anampenda atamsubiri
 
John asifananishe kusoma na vitu vya kijinga hapo aangalie tuu mtoto ataishije.
Ukiambiwa kuna jinsia zilinyimwa akili unakataa. Hawezi kuishi bila kugongana kwani john ikitokea akaenda jela miaka 3 huo mwanamke ataenda wapi atakua analiwa sio?
 
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.

Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""

Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.

Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.

Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!

John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.

John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.

Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA

Hakuna mjadala, Ndoa ni mzigo tu, baada ya week 3 ya kuishi na huyo mwanamke atakumbuka scholarship, hakuna mjadala hapo.
 
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.

Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""

Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.

Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.

Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!

John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.

John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.

Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
mwambie aache ujinga aende shule, hawa wanawake siyo watu kabisa, kesho ndiyo huyu huyu atamwambia ungekuwa umesoma kama fulani tusingeishi hivi.
 
Jamaa aliyeleta huu uzi angeweka barriers ya kutoruhusu wanawake kuchangia huu uzi. Wewe unajiita malkia wa nguvu unashauri hivi kweli. Hebu vaa uhusika chukulia kama huyu angekua mdogo wako wa kiume au kaka yako anayetegemewa nyumbani au angekua ni mtoto wako wa kiume. Acheni mawazo kufikiria unapokanyaga
 
Usichofahamu ni kuwa your wife is always there for you...

Kukuletea na kukulelea watoto, kulea your feelings and emotions, hata ukiyumba is there for you... sasa kwa nini usimshirikishe???

Na kibaya zaidi siku ukifa ndiyo anatarajiwa kubeba mikoba yako kuongoza familia...

Kumtenga ni short sided thinking brother...
Hivi unakaa na mwanamke mnajadiri nn.....? Binafsi nikisha panga langu utake usitake litafanyika. Nikipanga mipango yangu wewe kazi yako kuichambua ukiona inakufaa Baki ukiona haikufai chapa lapa .

Haya Mambo ya kujadiriana na wanawake ndio yanayoleta mabishano na magomvi yasiyo na maana ndani ya nyumba
 
Jamaa aliyeleta huu uzi angeweka barriers ya kutoruhusu wanawake kuchangia huu uzi. Wewe unajiita malkia wa nguvu unashauri hivi kweli. Hebu vaa uhusika chukulia kama huyu angekua mdogo wako wa kiume au kaka yako anayetegemewa nyumbani au angekua ni mtoto wako wa kiume. Acheni mawazo kufikiria unapokanyaga
Kwa nini wanawake tusichangie kwamba unaona tutaside na mke wa jamaa? Kuna wanawake huko juu wameshaur jamaa aende shule msione wanawake wote ni wajinga eti, tunatofautiana.
 
Kwa nini wanawake tusichangie kwamba unaona tutaside na mke wa jamaa? Kuna wanawake huko juu wameshaur jamaa aende shule msione wanawake wote ni wajinga eti tunatofautiana
Amen.

#YNWA
 
John aende tu huko Nje akasome.

Huyo mwanamke anafanya kazi? mbona ana akili ndogo hivyo? kwa hiyo ikitokea Mume wake kapata kazi mbali hatoweza kuvumilia?

Mshauri aende shule.
 
Yap this is my concern.

Ana miaka 33 mimi nina miaka 32
Tukirudi atakua na 36 Mimi 35.

Then tutakuwa bado na umri wa ujana sanaa tu. Akimkosa huyu mchumba basi atapata mwengine.

#YNWA
Mwanamke mjinga,mi ningembembeleza tufunge ndoa kabisa then namruhusu aende! Miaka 3 sio mingi! Baada ya mwaka nafanya taratibu naenda na mtt au yeye aje km inawezekana mbona fresh tu

Ila kwa maneno ya huyu mwanamke, mmh[emoji848]huyo rfk ako awe makini!
Ila mwambie aende shule aache ujinga.
 
Back
Top Bottom