Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Msaidieni rafiki yangu achague lipi kati ya Ndoa au Scholarship (Elimu)?

Hakuna mke hapo. Akapige shule.. maisha unajifikiria wewe kwanza ndo unawapa nafasi wengine. Hata mzazi wako anakushauri jambo lenye maslahi yake kwanza.. kanuni ni kujifikiria kwanza
 
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa". Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu.

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD. Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa. Mimi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018. Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao. February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba. Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja. Na wapo kwenye process za ndoa kanisani. Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna. Alikaa siku mbili haongei na John. Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mingi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake. Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA.

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi. John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe. John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa. Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
Mwambie amuoe akae namama mkwe au arudi kwao akisharudi john masomoni basi atapanga na kuanza naye maisha .

Kuhusu hela za matumizi kweli maisha ni magumu ila huyo john atengeneze mazingira ya mtoto kupata hela .
1. Afungue kabiashara kakuingiza pesa .
2. Akusanye hela nakumwekea mke kwenye account.
3. Pia mke aombwe tu naye asilimia 50% atoe kwa malezi ya mtoto huku akiandika alichotumia hadi mume arudi.
4. Kuhusu mapenzi kashakua ache upuuzi eti nani atamtoa hamu ache kutudanganya embu akwendree hukoo.

Jingine amueleze kuwa akirudi atapandishwa cheo na atapewa mkwanja mrefu atajenga kwa haraka.
Atamnunulia kagari chakutamba kwa mashosti .
Na pamba pamba nzuri atamnunulia kwenda masomoni ndio kumsaidia yeye kurahisisha maisha ukiwa huna elimu ni ngumu kusonga kimaisha.

Tena isitoshe kwenye kazi za kiserikali.
 
Samahani mkuu, wewe ni nshomile? Nasema tena samahani
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.

Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.

Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa". Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu.

SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD. Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.

Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa. Mimi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.

Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018. Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.

January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao. February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba. Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja. Na wapo kwenye process za ndoa kanisani. Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.

The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna. Alikaa siku mbili haongei na John. Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.

1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mingi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.

2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".

3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"

4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake. Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.

Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA.

Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi. John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe. John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa. Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.

Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.

#YNWA
 
Anaweza asiende na huko mbele dem akamsaliti vilevile ikabakie ooooh bora ningeenda kusoma,hawaaminiki hao
 
Back
Top Bottom