Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #41
Mimi nipohadi mtu anamaliza masters, anafanya kazi anapata hadi udhamini wa masomo PHD hajaoa?
Hivi unakaa na mwanamke mnajadiri nn.....? Binafsi nikisha panga langu utake usitake litafanyika. Nikipanga mipango yangu wewe kazi yako kuichambua ukiona inakufaa Baki ukiona haikufai chapa lapa .Kwa hakika kwangu mimi familia comes first kuliko kitu chochote kile kwa sababu ni msingi wa kila kitu kuanzia jamii na hata Taifa......
Ushauri wangu:
1. Amwombe Mchumba wake wajadiliane kwa wazi ili kila moja atoe dugudugu zake na ajibiwe honestly na mwenza wake huenda mwafaka ukapatikana.
2. Asikilize moyo wake na hisia zake zinasemaje bila kuwa biasness au emotions....
3. Sacrifice: kila jambo linahitaji kufanya sacrifice hivyo apime gharama ya ndoa kwa kuacha fursa ya elimu na gharama ya elimu kwa kuiacha fursa ya ndoa.... afanye maamuzi kwa kuangalia ipi ina gharama kubwa sana....
4. Kama mwenza wake ana 30+ na ana hofu umri umeaogea na amejitoa sana kwa ajili yake, wakati mwingine ni busara kujali hisia za mwenzako kwa kuacha yale unayoyatamani.... unatoa sadaka kwa lugha nyingine to make your spouse happy...
5. La mwisho kwa mpangilio na la kwanza kwa umuhimu sana... AFUNGE NA KUOMBA, AAMKE USIKU NA KUMLILIA MOLA MLEZI AMFUNGULIE LILILO NA KHERI NA YEYE NA AMWONGOZE KUFANYA LILILO LA SAWA..... KUTAKAKOWAKA TAA YA KIJANI BASI AFUATE MLANGO HUO.....
XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXX
Nchi moja hivi amaizingggg..!!Nchi gani kwani mnayoenda ??
John aende kusoma, kama mke anampenda atamsubiriNi rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.
Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.
Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.
Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""
Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!
SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.
Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.
Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.
Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.
January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.
Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.
The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.
1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.
2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".
3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"
4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.
Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!
Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!
John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.
John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.
Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.
Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.
#YNWA
Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.
Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.
Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.
Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""
Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!
SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.
Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.
Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.
Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.
January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.
Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.
The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.
1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.
2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".
3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"
4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.
Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!
Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!
John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.
John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.
Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.
Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.
#YNWA
mwambie aache ujinga aende shule, hawa wanawake siyo watu kabisa, kesho ndiyo huyu huyu atamwambia ungekuwa umesoma kama fulani tusingeishi hivi.Ni rafiki yangu wa kazi, tumpe Jina la John (yupo Halmashauri jirani). Amenipigia simu, na amenieleza jambo fulani nimeshindwa kumshauri.
Sababu ya kushindwa kumshauri ni kwamba; mi ningemjibu fasta kuwa PIGA CHINI NDOA fata SHULE.
Ila "the problem is" alishani tahadharisha nisiwe "bias" katika majibu japo SIFAGILII NDOA.
Wakati ananiomba ushauri alisema ""Mr. Liverpool najua hupendi na hutaki kuoa, ila nakushirikisha hili jambo naomba usiwe bias, japo najua huzitaki ndoa..!!""
Na mimi nimeona niwashirikishe humu najua mpo mliopitia situation kama yake na mkapata jawabu..!!!
SCENARIO:-
Mwaka jana kupitia matangazo ya Wizara ya Utumishi mimi na John tuliomba Scholarship ya PhD.
Na ashukuriwe Mungu sotee tumepata post.
Wiki kama mbili zilizo pita Wizara ya Utumishi walituma barua za ruhusa kwa waajiri wetu ili waturuhusu kwenda shule pindi admission documents zitakapo tumwa.
Mi nilishirikisha familia na John akaenda kumshirikisha mchumba ake.
Flash back:-
John na mchumba ake walikutana tokea 2018.
Uchumba wao ukaendelea kwa mabonde na milima mpaka kufika mwaka huu John alipo amua kuufanya officialize.
January/2022 alimpeleka kumtambulisha mchumba ake kwao.
February/2022 John alituma mshenga kwa mchumba.
Kwasasa wanaishi wote na wana mtoto mmoja.
Na wapo kwenye process za ndoa kanisani.
Wanahitaji kupanga tarehe, na mambo mengine ya ndoa.
The Problem:-
John alivyomshirikisha mchumba ake anasema mchumba alipoteza furaha ghafla na alinuna.
Alikaa siku 2 mbili haongei na John.
Baada ya kubembelezwa sanaa mchumba ndio akafunguka.
1. Hataki John apande ndege aende kusoma kwasababu miaka mi3 ya masomo ni mengi, na yeye hawezi kuishi pekee yake TZ halafu John yupo nje.
2. Amesema na karudia sana hili jambo kwamba ""John akisepa tu basi atamkuta mchumba kashaolewa, kwamaana ye mchumba hawezi kuishi mpweke halafu John yupo nje"".
3. Mchumba kasema hawezi kukaa wiki moja bila kugongana na John, hivyo akisepa "Nani atakuwa anamtoa hamu?"
4. Mchumba analalamika John anamuacha vipi mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili na mama pekee yake.
Kwahiyo mchumba anahisi kama John anataka kusepa nje amuachie mchumba malezi ya mtoto mwenyewe.
Kaeleza mengi ila kifupi MCHUMBA HATAKI JOHN AENDE SHULE HUKO NJE YA NCHI na KASEMA AKIENDA TU KAMKOSA..!!!
Difficults:-
John yupo njia panda kwa maana NDOA anaitaka na SHULE anaitaka, ila hajui achague kipi aache kipi...!!!!
John anamuhitaji mchumba Tena anamuhitaji sanaa awe mkewe.
John anahitaji sanaa mtoto ake alelewe na mama aliyemzaa, kwamba kutafuta mwanamke mwengine ahitaji kabisaa.
Ila mchumba kashamuonya kwamba akipanda ndege na yeye KAMKOSA.
Uzi tayari.
Ushauri wako Muhimu.
#YNWA
Hivi unakaa na mwanamke mnajadiri nn.....? Binafsi nikisha panga langu utake usitake litafanyika. Nikipanga mipango yangu wewe kazi yako kuichambua ukiona inakufaa Baki ukiona haikufai chapa lapa .
Haya Mambo ya kujadiriana na wanawake ndio yanayoleta mabishano na magomvi yasiyo na maana ndani ya nyumba
Kwa nini wanawake tusichangie kwamba unaona tutaside na mke wa jamaa? Kuna wanawake huko juu wameshaur jamaa aende shule msione wanawake wote ni wajinga eti, tunatofautiana.Jamaa aliyeleta huu uzi angeweka barriers ya kutoruhusu wanawake kuchangia huu uzi. Wewe unajiita malkia wa nguvu unashauri hivi kweli. Hebu vaa uhusika chukulia kama huyu angekua mdogo wako wa kiume au kaka yako anayetegemewa nyumbani au angekua ni mtoto wako wa kiume. Acheni mawazo kufikiria unapokanyaga
Amen.Kwa nini wanawake tusichangie kwamba unaona tutaside na mke wa jamaa? Kuna wanawake huko juu wameshaur jamaa aende shule msione wanawake wote ni wajinga eti tunatofautiana
Mwanamke mjinga,mi ningembembeleza tufunge ndoa kabisa then namruhusu aende! Miaka 3 sio mingi! Baada ya mwaka nafanya taratibu naenda na mtt au yeye aje km inawezekana mbona fresh tuYap this is my concern.
Ana miaka 33 mimi nina miaka 32
Tukirudi atakua na 36 Mimi 35.
Then tutakuwa bado na umri wa ujana sanaa tu. Akimkosa huyu mchumba basi atapata mwengine.
#YNWA