Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Hawa jamaa wanajifedhehesha sana. Utafikiri hawajaenda skuli.
 
Mrema amesafiri kwenda wapi?
Maalim Seif kama mtanzania mwingune ana uamuzi wake wa kwenda kuhudhuria kampeni popote za mtu anaona anafaa kuwa Raisi, je angeenda kwa JPM angeandikiwa barua?
Kumbuka yeye sio mgombea wa urais Bara.
Yeye na Mrema hawana tofauti, haya tuone barua nyingine kwa Mrema.
 
Hahahaha! Ukweli mchungi lakin ! Ngumu kumeza
 
Katiba ya ACT.

Msajili wa vyama nakuomba sana izingatiwe.

Maalim Seif amepoteza uhalali wa kuwa Mgombea wa Urais.

Katiba ya ACT ipo wazi hilo lizingatiwe, tafadhali sana.
 
 
Huwezi toa hoja mpaka ujitukane..
 
Nadhani hakuna 'Connection' nzuri ya 'Kimawasiliano' iliyo na 'Ukatili' kati ya NEC na CCM ndiyo maana wanafikia 'Kujiaibisha' na 'Kukengeuka' hivi.
 
Ya Mrema aachiwe yeye
 
Msajili ungeamua kukaa kimya ungeonekana mtu unayeelewa vyema maadili ya kazi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…