Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Uchaguzi 2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

Mbona leo Mrema kapanda Jukwaa moja na MAGUFULI huko kilimanjaro? kama ana ubavu amwandikie na Magufuli sasa....hivyo visheria vyao vya kipumbavu walivyowatungia wapinzani mwisho ni tarehe 28 by any means
Safari hii papo kwa hapo hahaha
 
Hakuna mtego wowote. Ni uonevu tu. Tunatakiwa tusimame na wanaonyimwa haki. Tusimame na waonevu na wadhalimu.
Kiongozi wangu kwa sheria zilizopo ZEC au NEC zikikuondoa katika orodha ya wanaogombea Urais hasa katika kipindi hiki cha lala salama ujue rufaa yako itatolewa maamuzi baada ya Rais mteule kuapishwa na majibu ya rufaa husika unaweza kutabiri mwenyewe yatakuaje. Kitakacho bakia ni kelele za kuonewa kwa muda wote wa miaka mitano ijayo.

Maalim anakubalika kama ambavyo Lissu anakubalika tena siku zenyewe zimebaki chache sana. Kwa maoni yangu hapakua na sababu yoyote ya kufanya wanavyofanya(hasa Maalim Seif) kwani hali hiyo inahatarisha wanaomuwinda wapate uhalali wa kumhujumu kwa kumuondoa kwenye kinyang'anyiro cha Urais
 
Kusema kuwa na Mrema naye aandikiwe barua kwa kuwa naye amefanya hivyo ni utetezi wa kitoto sana.

Nilidhani kabla ya kufanya jambo linaloweza kuwatia kwenye mgogoro basi walau Mtu uwe na hoja zinazokuacha salama badala ya kusema tu "mbona na fulani amefanya".

Katika mazingira kama haya ya tume iliyopo nilidhani Wapinzani wangekuwa makini zaidi badala ya kukiuka sheria makusudi na kusubiri uadhibiwe ili utafute huruma ya Wananchi.

Na tunavyoijua tume mnaweza mkaadhibiwa na Mgombea wa ccm akaachwa na ikabaki hivyo...sasa sijui itakuwa mmepata au mmepunguza.
 
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama haruhusiwi kupanda jukwaani popote? Maajabu haya!
 
Kusema kuwa na Mrema naye aandikiwe barua kwa kuwa naye amefanya hivyo ni utetezi wa kitoto sana.

Nilidhani kabla ya kufanya jambo linaloweza kuwatia kwenye mgogoro basi walau Mtu uwe na hoja zinazokuacha salama badala ya kusema tu "mbona na yeye ameiba".

Katika mazingira kama haya ya tume iliyopo nilidhani Wapinzani wangekuwa makini zaidi badala ya kukiuka sheria makusudi na kusubiri uadhibiwe ili utafute huruma ya Wananchi.

Na tunavyoijua tume mnaweza mkaadhibiwa na Mgombea wa ccm akaachwa na ikabaki hivyo...sasa sijui itakuwa mmepata au mmepunguza.
Sheria gani imekiukwa na Maalim?
 
Hakuna sheria inayokataza. Magufuli pia alikuwa na Mrema jukwaa moja. Hakuna sheria inayokataza hilo jambo. Tusimamie haki zetu Watanzania tuache kukubali uonevu.
Kiongozi wangu kwa sheria zilizopo ZEC au NEC zikikuondoa katika orodha ya wanaogombea Urais hasa katika kipindi hiki cha lala salama ujue rufaa yako itatolewa maamuzi baada ya Rais mteule kuapishwa na majibu ya rufaa husika unaweza kutabiri mwenyewe yatakuaje. Kitakacho bakia ni kelele za kuonewa kwa muda wote wa miaka mitano ijayo.

Maalim anakubalika kama ambavyo Lissu anakubalika tena siku zenyewe zimebaki chache sana. Kwa maoni yangu hapakua na sababu yoyote ya kufanya wanavyofanya(hasa Maalim Seif) kwani hali hiyo inahatarisha wanaomuwinda wapate uhalali wa kumhujumu kwa kumuondoa kwenye kinyang'anyiro cha Urais
 
Shekhe Ponda amjia juu Mkurugenzi wa Tume asema kama ni Sheria zifuatwe na na kila Mgombea sio kuleta Nongwa zao upande mmoja
 
Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.

Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.

Maendeleo hayana vyama!

Maalim apuuze barua hiyo. Tunabakiza wiki moja wakitaka tuanze sasa tupo tayari pia.
 
Haya Bakwata njooni mtusaidie katika hili, naona kuna haki za watu zinataka kuporwa
 
Mutungi wewe akili yako umeiacha kwenye mtungi bukoba au .ficha ujinga wako we mshomile
 
Sheria gani imekiukwa na Maalim?
1603289432691.png



Msikilize mwenyewe hapa akiwa Moshi akiivunja akiwa moshi na Lissu

 
Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT wazalendo maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lisu wa Chadema kumpigia kampeni.

Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia.

Maendeleo hayana vyama!
Video : Mrema na wafuasi wake wakiwa Himo wakimsubiri Mgombea wao Magufuli
 
Mimi niko hapa Swahili Villa online na maBroda from another Mother

Hii Online Tv inachambua Mambo mpaka burdani kabisa
Kuna Dr.Nhigula na AbdulShatir hawa jamaa ni wachambuaji wa Mambo safia kabisa

Siyo kama ila Tv ya Mandezi TVT
 
Back
Top Bottom