TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

Screenshot_20241217-085806_1.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
Sad news.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
alikuwa mkorofi, ngoja aende apate adhabu maana alitesa sana vyama vya siasa vya upinzania.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
RIP, msajili John Tendwa

Kila mtu ataTENDWA.
 
Sasa ndio umeandika nini hapa.au umeamka nazo kichwani mwako.
Lucas wewe siasa umeanza juzi tu

1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa

Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
 
Back
Top Bottom