TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
acheni tu kifo kiwepo. kinaleta uwiano wa maisha kwa watu wote.
 
Lucas wewe siasa umeanza juzi tu

1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kuwapa

Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Nae mlugaluga ni mwanasm!
 
Alikoenda kama watu wanarudi, tunaomba mungu huyu mtu asirudi alikotoka

Msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema sasa amechoka kusikia mauaji kwenye mikutano ya kisiasa ya CHADEMA na atatumia rungu lake kufutia usajili chama chochote kitakachoshindwa kutunza amani ya nchi.

Tendwa amewaambia waandishi wa habari hatishiki na chama chochote kuwa na wabunge kwani sheria inamruhusu kufuta chama hata kama kina wabunge 100.

Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyakati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.

Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.

Source: Habari - Radio Tumaini
September 5,2012
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
#Tendwa atishia kukifuta chadema# kwahiyo mbona ameshindwa kutishia kukifuta kifo chake? Au alijisahau au aliishiwa peni ya wino ya kukifuta kifo?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema ,Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa ,jina lake lihimidiwe.

View attachment 3178639
Alikuwa Mtenda haki?
 
RIP Mzee. Mbele yako nyuma yetu. Jiandae kujibu ni kwajinsi gani ulileta furaha au machungu Kwa jamii ya kitanzania kutokana na maamuzi yako. Ulijiita Baba wa mageuzi japo sikufahamu kwanini. Rest where you belong Mzee wa kibamba
 
Back
Top Bottom