The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Huyu wa sasa haumwi jamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani tufanye yote lkn tukumbuke Mungu yupo.
Mungu aipumzishe roho yake kwa namna alivyojiandalia mwenyewe.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Alijitahidi sana kuwa fair wakati akiwa msajili wa vyama. Pia wakati ule viongozi walau walikuwa na hofu ya Mungu.
Mungu amjalie amani na pumziko miongoni mwa wateule wake
Jaji Mutungi jifunze kutenda haki ktk nafasi yako. Kifo kipo na hukumu kwa matendo yako ipo.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Msajili aliyekuwa afadhali ni jaji George LiundiAlikuwa Mtenda haki?
Watumie machawa ujumbe huuKifo ni hakika,tuikanyage ardhi hii kwa tahadhari
Wenyewe nilishangaa sana wanakufa watu wema wanaachwa haya majangili ya mali za umma.Wale watunga Sheria mjengoni dodoma kwenye ile ajali ya bus la Shabiby , walikufa wangapi?
Leo UWT kimeumanaIla Washamba Washamba kama wewe sitakagi ujirani mko kimbuzimbuzi zaidi 😃😃
Huyu shetani hata siasa hajuiLucas wewe siasa umeanza juzi tu
1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa
Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Wapi huko! Tupia kapicha ,mkuuLeo UWT kimeumana
Soma chat zao hapo juuWapi huko! Tupia kapicha ,mkuu
Huyu niHuyu shetani hata siasa hajui
Akakutane na File lake sasa huko ambako hakuna cha kusema mimi nilikua ccmNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
AmeshazikwaAkakutane na File lake sasa huko ambako hakuna cha kusema mimi nilikua ccm