Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Sina wivu mimi.Lukasi acha wivu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina wivu mimi.Lukasi acha wivu.
R.I.P home body.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
aendako atendwe sawasawa na matendo yake kadiri alivyowatendea wapinzani ktk zamu yakeNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Wanafikiriaga hawatakufa! Let him Rest Where he Deserve!alikuwa mkorofi, ngoja aende apate adhabu maana alitesa sana vyama vya siasa vya upinzania.
Watu wazuri hawafiNdugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
Laiti kama MaCcm wote wanao iba kura, kupoteza watu, kufuja mali za umma, nk, wange jua mwisho wao ndio huu, basi wange mcha Mungu na kutenda yaliyo mema.Ndugu zangu Watanzania,
Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.
Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .
Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA
View attachment 3178639
exactly, in hellWanafikiriaga hawatakufa! Let him Rest Where he Deserve!
Miaka hiyo raia huwezi miliki mguu wa kukuLucas wewe siasa umeanza juzi tu
1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa
Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Ulikuwepo Mjini wakati huo? 😂Miaka hiyo raia huwezi miliki mguu wa kuku
Kijijini kwaoAnazikwa wapi?
Hakuvisajili au alivifuta ?alikuwa mkorofi, ngoja aende apate adhabu maana alitesa sana vyama vya siasa vya upinzania.
Ndio wapi kijijini kwao huko?!Kijijini kwao
Zingatia neno raiaUlikuwepo Mjini wakati huo? 😂
Labda watamchoma motoAnazikwa wapi?
Unataka kwenda?Ndio wapi kijijini kwao huko?!
Hakuna cha jemadari wala nini, hiki kizee kilikuwa ovyo kabisa, kimehusika kuua demokrasia na kuzorotesha harakati za upinzani hapa Tanzania. Kama taifa hakuna chochote tulichokipoteza, na wala hatusikitiki kwa chochote.JEMEDARI UMEONDOKA. TUKO NYUMA YAKO MR..TENDWA , KIFO NI SHEREHE. WE ALL MUST PARTY HARD WHEN OUR TIME COMES