TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

TANZIA Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu, John Tendwa Afariki Dunia

R
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
R.I.P home body.

Kwa kingereza tunaita
Death Is Death Only
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
aendako atendwe sawasawa na matendo yake kadiri alivyowatendea wapinzani ktk zamu yake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Watu wazuri hawafi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo ya majonzi juu ya kifo cha msajili wa vyama vya siasa mstaafu John Tendwa ambaye amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amekuwa msajili tangia wakati wa hayati Benjamini Mkapa mpaka wakati wa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete 2013.

Amepigana vita iliyo njema, Mwendo Ameumaliza na imani Ameilinda .

Bwana alitoa,Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.

Pia soma
- Tendwa amkosoa Msajili wa vyama kuhusu ukomo wa madaraka CHADEMA

View attachment 3178639
Laiti kama MaCcm wote wanao iba kura, kupoteza watu, kufuja mali za umma, nk, wange jua mwisho wao ndio huu, basi wange mcha Mungu na kutenda yaliyo mema.
Muache na huyu Jaji aka hesabiwe madhambi yake aliyo tenda kukandamiza Watanzania na upinzani
 
Lucas wewe siasa umeanza juzi tu

1980s baadhi ya vijana walienda Mbowe Hotel Kwa akina Dj Saydo na Kalikali kuangalia tu mbwembwe za Freeman alivyokuwa anafunga " mguu wa kuku" chini ya kwapa

Wewe ulikuwa bado vinenani mwa mlugaluga mmoja mashambani Vwawa huko 😂😂
Miaka hiyo raia huwezi miliki mguu wa kuku
 
Rip!

Naomba tuamini mtajwa kafa natural death kama hayati sokoine enzi zile Hadi Burito akawayangazia watz!!

Kwa maana zama hizi ni za uovu!
 
JEMEDARI UMEONDOKA. TUKO NYUMA YAKO MR..TENDWA , KIFO NI SHEREHE. WE ALL MUST PARTY HARD WHEN OUR TIME COMES
Hakuna cha jemadari wala nini, hiki kizee kilikuwa ovyo kabisa, kimehusika kuua demokrasia na kuzorotesha harakati za upinzani hapa Tanzania. Kama taifa hakuna chochote tulichokipoteza, na wala hatusikitiki kwa chochote.
Ndugu, jamaa na marafiki zake wa karibu ndio wanaweza kuwajibika kusikitika kwa kumpoteza mtu wao.

Sisi wengine hapana.
 
Back
Top Bottom